Maamuzi ya Prof Ndalichako yanashangaza

Maamuzi ya Prof Ndalichako yanashangaza

Mkuu nimekuelewa.

Ila ungefanya bidii kidogo kusoma nilichosema toka mwanzo wa huu mjadala usingesema hivyo.

Nilisema lazima tuwaandae Wanafunzi na Walimu wetu.

Lzima kuwe na mazingira bora kwa kila Upande.

Utaniuliza kwanini tamko si mazingira kwanza . na mimi ntakujibu mbona Shule za kata zilianza kabla kuwa na walim?

Leo Impact ya shule za kata mnaiona au hamuioni?
Sorry huenda sikuiona post yako ya kwanza mkuu, ila kiukweli kabla ya kutoa haya matamko tunapaswa kwanza tuwe tunazingatia vitu vidogo vidogo maana ndo huwa vinatuangusha
 
MH.NDALICHAKO HII SIYO NECTA
Kwa kipindi cha miaka tisa alifanyakazi ya katibu baraza la mitihani japo marachache nyuma alioneka akifanya masuala ya utafiti na shirika la elimu la aghakhan.Siukatai uwezo wake mkubwa kipindi hicho cha nyuma ingawa amepata bahati baada ya kutoka masomoni anakutana na fursa ya uwaziri......

Siku zote unapoipata fursa ni lazima umuonyeshe aliyekupa kuwa hajapoteza...kwa kipindi kirefu umekuwa ukijishughulisha na matukio badala ya matatizo yanayoikabili sekta ya elimu...

Najaribu kutafuta nini umefanya ili baada ya miaka miwili mitatu tukukumbuke kwa kusema hiki ni cha fulani au unataka tuseme baadae matatizo haya kayaleta ndalichako.......

UTATA WA MH.NDALICHAKO
Kuna vitu Mh waziri amevifanya mpaka unajiuliza huyu ni waziri au nani kasema? Baadhi ni:-

1: Masomo ya sayansi lazima
Hivi waziri ulishindwa kutengeneza miundo mbinu bora kuboresha maslahi ya walimu wa sayansi na kuandaa walimu wakutosha motisha n.k wala ilikuwahaina haja kulazimisha wenyewe wangeenda....

Mfano mzuri jiulize kwanini raisi magufuli ni mwalimu mzuri wa sayansi mzuri aliacha kazi ya ualimu akaenda kiwandani baadae kwenye siasa...sababu zilizomtoa yeye na wengine zinawatoa pia......

2: Ubora wa baadhi ya vyuo vya elimu ya juu....
Kimsingi huwezi ukatibu tatizo hili kwa kusema wachuo fulani wakienda chuo fulani warudie mwaka mmoja nyuma kwa kuwa ubora tofauti ilihali hawa maprofesa ndiyo hao hao kilachuo......

Lakini nikukumbushe kitu ulikuwa huna haja kuwaambia warudie mwaka kwani kila chuo kikuu upo utaratibu wa KUSAP na KUDISCO sasa hivyo ndiyo vilikuwa vipimo kuwa wana ubora au la kuliko kusema asiyetaka arudi kwao(huu ni ubabe).....

Ulichotakiwa kufanya nikuuangalia upya mfumo mzima wa elimu ya juu ikiwezekanafumua wote......

3: Utoaji adhabu kwa wanafunzi
Hili jambo naona mara ya tatu unalirudia kana kwamba waalimu awajitambui vile..kifupi kwa sheria ya adhabu mashuleni hakuna mwalimu mwenye muda mchafu wa kuweza kuitekeleza kila mwalimu anamambo yake ya kufanya......

MWISHO
Kama utaendelea kuwa waziri wa kuzindua na matamko ukifikiri bado upo NECTA na kusahau kuwafikiria walimu tutegemee kushuhudia waziri mbovu ndani ya wizara ya elimu baada ya Magreth Sitta na Mungai kutokea
 
Ametumbua chuo chako nn mkuu, mbona una jazba? Unatetea vyuo vikuu vilivyo kwenye mabanda ya kuku? Walimu mna mishahara mikubwa sana ndiyo maana hamuachi kazi. Sasa unataka motisha gani tena?

Ndiyo viboko virejee mashuleni ili kujenga nidhamu kwa watoto wetu.
 
MH.NDALICHAKO HII SIYO NECTA
Kwa kipindi cha miaka tisa alifanyakazi ya katibu baraza la mitihani japo marachache nyuma alioneka akifanya masuala ya utafiti na shirika la elimu la aghakhan.Siukatai uwezo wake mkubwa kipindi hicho cha nyuma ingawa amepata bahati baada ya kutoka masomoni anakutana na fursa ya uwaziri......

Sikuzote unapoipata fursa ni lazima umuonyeshe alikupa kuwa hajapoteza...kwa kipindi kirefu umekuwa ukijishughulisha na matukio baadala ya matatizo yanayoikabili sekta ya elimu...Najaribu kutafuta nini umefanya ili baada ya miaka miwili mitatu tukukumbuke kwa kusema hichi ni chafulani au unataka tuseme baadae matatizo haya kayaleta ndalichako.......

UTATA WA MH.NDALICHAKO
Kuna vitu mh waziri amevifanya mpaka unajiuliza huyu ni waziri au nani kasema? Baadhi ni:-
1:masomo ya sayansi lazima
Hivi waziri ulishindwa kutengeneza miundo mbinu bora kuboresha maslahi ya walimu wa sayansi na kuandaa walimu wakutosha motisha n.k wala ilikuwahaina haja kulazimisha wenyewe wangeenda....
Mfano mzuri jiulize kwanini raisi magufuli ni mwalimu mzuri wa sayansi mzuri aliacha kazi ya ualimu akaenda kiwandani baadae kwenye siasa...sababu zilizomtoa yeye na wengine zinawatoa pia......

2:ubora wa baadhi ya vyuo vya elimu ya juu....
Kimsingi huwezi ukatibu tatizo hili kwa kusema wachuo fulani wakienda chuo fulani warudie mwaka mmoja nyuma kwa kuwa ubora tofauti ilihali hawa maprofesa ndiyo hao hao kilachuo......
Lakini nikukumbushe kitu ulikuwa huna haja kuwaambia warudie mwaka kwani kila chuo kikuu upo utaratibu wa KUSAP na KUDISCO sasa hivyo ndiyo vilikuwa vipimo kuwa wana ubora au la kuliko kusema asiyetaka arudi kwao(huu ni ubabe).....

Ulichotakiwa kufanya nikuuangalia upya mfumo mzima wa elimu ya juu ikiwezekanafumua wote......

3:utoaji adhabu kwa wanafunzi
Hili jambo naona mara ya tatu unalirudia kana kwamba waalimu awajitambui vile..kifupi kwa sheria ya adhabu mashuleni hakuna mwalimu mwenye muda mchafu wa kuweza kuitekeleza kila mwalimu anamambo yake ya kufanya......
MWISHO
Kama utaendelea kuwa waziri wa kuzindua na matamko ukifikiri bado upo necta na kusahau kuwafikiria walimu tutegemee kushuhudia waziri mbovu ndani ya wizara ya elimu baada ya magreth sitta na mungai kutokea
Mpaka nimetoa chozi
 
kwangu mimi walimu ambao wanastahili heshima zote na pongezi za dhati kabisa wa chekechea na shule ya msingi ila sio hawa sekondari, wenyewe hawana maadili, utu na hata utashi. katika kusoma kwangu sekondari sikuwahi kujivunia mwalimu yeyote wa sekondari
 
kwangu mimi walimu ambao wanastahili heshima zote na pongezi za dhati kabisa wa chekechea na shule ya msingi ila sio hawa sekondari, wenyewe hawana maadili, utu na hata utashi. katika kusoma kwangu sekondari sikuwahi kujivunia mwalimu yeyote wa sekondari
Unawakosea walimu Mkuu,unachafua Uzi mapemaaa
 
Ametumbua chuo chako nn mkuu, mbona una jazba? Unatetea vyuo vikuu vilivyo kwenye mabanda ya kuku? Walimu mna mishahara mikubwa sana ndiyo maana hamuachi kazi. Sasa unataka motisha gani tena?

Ndiyo viboko virejee mashuleni ili kujenga nidhamu kwa watoto wetu.
Aaaaaah wapi
 
Mh.Ndalichako J. Mfumo wa kuchagulia hisabati unafaida gani kusahihisha au Ktk elimu ? Tutapataje wanahisabati? Kutopatikana walimu wa hisabati ni kosa la wizara.itafika wakati tutawakosa watalam wa hisabati kabisa nchini nakuomba tamka lolote kuhusu hili!
 
mjukuuu ulishawahi kuufanya huo mtihani ukaona ulivyo au ndio zile za tz za kuongelea majukwaani usifikiri hao watoto ni upepo hakuna anayefikiri kubeti wakati wakutoa jibu sahihi acheni uzushi
 
Waziri wa elimu Ndalichako kwa kuendelea kutoa matamko yako ya utatanishi juu ya elimu ya Tanzania ikiwepo la kuwazuia watu kujiendeleza kielimu ni kujivunjia heshima
 
Waziri wa elimu Ndalichako kwa kuendelea kutoa matamko yako ya utatanishi juu ya elimu ya Tanzania ikiwepo la kuwazuia watu kujiendeleza kielimu ni kujivunjia heshima
Wacha wasomi wachangie......ww ya kwako ni kuzungusha mikono tu.
 
Leo nakuunga mkono mkuu..huyu mama atupelekako sasa ni kule tulikotoka...hadi aliyepata kadigrii kake bils form 6 ajiangalie wakti kuna watu wanesota hadi kufikia hpo na wengine ni maprofesa wamejiendeleza ns kufika huko. Kwa hali hii mtoto wa maskinj kujiendeleza ndo itakuwa basi tena
 
Waziri wa elimu Ndalichako kwa kuendelea kutoa matamko yako ya utatanishi juu ya elimu ya Tanzania ikiwepo la kuwazuia watu kujiendeleza kielimu ni kujivunjia heshima
Naona wenye elimu ya hapa na pale mnaanza kuandamana
 
Back
Top Bottom