Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Teh mi siabudu ndoa mkuuUtaisikia now kwenye bomba.. Jiandae tuu kuzalishwa na kuwa dumped
Teh mi siabudu ndoa mkuuUtaisikia now kwenye bomba.. Jiandae tuu kuzalishwa na kuwa dumped
Yaani kamahari kako ka million kadhaa ndiyo ukamtese mtoto wa watu kwa miaka yote ya ndoa yenu ?? Mbona kabla hamjaoa huwa mnavihonga vile videmu vyenu mamillion zaidi hata ya mahari mnazotoa na hamvinyanyasi ??na ndio maana ya kulipia mahari
Mbona wapo wanaume ambao nao wanatumia viungo vyao vya kutolea haja kubwa kama njia ya kujipatia kipato tena wako wengi tu hapa duniani ?? Na hapo tusemeje ??You have nailed it,na huu ndio ukweli kabisa sasa hiyo 50/50 sijui wataipataje,wanawake wanachekesha kwa kweli..zaidi ya mdomo mwiingi na umbea sijui kitu gani kingine wanawake wanaweza..maisha yakimpiga au yakiwa mabaya kwenye familia huwa hawana uvumilivu hapo atatumia kiungo cha chini ajikimu kumbuka hawa maisha yao ni ligi na kujilinganisha ni tofauti na wanaume tunapiga moyo konde na kupambana ila wakiwa na tuhela ndio utawasikia na hizi nyimbo za 50/50
Hao ndo ambao nyie mnawataka ili mpangiane hiyo 50/50 maana wameshindwa kusimamia uanaumeMbona wapo wanaume ambao nao wanatumia viungo vyao vya kutolea haja kubwa kama njia ya kujipatia kipato tena wako wengi tu hapa duniani ?? Na hapo tusemeje ??
kwanza hakuna anaelazimishwa kuolewa kama ndoa ni mateso alafu uhalisia wake mateso hayapo ila ni utaratibu wa boss na mfanyakazi..Yaani kamahari kako ka million kadhaa ndiyo ukamtese mtoto wa watu kwa miaka yote ya ndoa yenu ?? Mbona kabla hamjaoa huwa mnavihonga vile videmu vyenu mamillion zaidi hata ya mahari mnazotoa na hamvinyanyasi ??
Hebu msituchanganyie habari hapa
Yaani anataka akupangie hadi namna ya kumuattack mtuSiombi radhi Wala Nini maana hata yeye aliingiza vitu vya wivu sijui Nini alitegemea Nini.

Mkuu mbona nyie mmejumuisha karibia wanawake wote kwenye arguments zenu n a hamjatutaka radhi?Hapana ,,,,two wrongs don't make it right....... Humuombi yeye radhi unaomba radhi kwa wote watakao guswa na kauli yako.......pamoja na umajununi wako, unaonekana una kauungwana kwa mbali, being humble doesn't cost you a thing, pls omba radhi!
Huyu hawezi akaona maana naye yupo humohumo.Kuwa na hekima na vyote vyote
Yaani anataka akupangie hadi namna ya kumuattack mtu![]()
Ni shida imagine Hawa ndo wababa wa familia wanafikiria mtu kuwa mwanamke ndo wakupangiwa chakufanya lohYaani anataka akupangie hadi namna ya kumuattack mtu![]()
Mkuu mbona nyie mmejumuisha karibia wanawake wote kwenye arguments zenu n a hamjatutaka radhi?
Kumbe nyie mkijumuishwa hivyo mnaumia??..
Kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
Kwahiyo nyie attack zenu kwa wanawake mnaona ni sawa?Don't make everything about you my friend, ur statement inaweza hurt others wenye Imani ile na kuharibu uzi mzima, just be matured ànd apologize, sadly umefunga PM yako, ningekuja huko huko kukusihi.
Hata sija violate any rule ya JF nimejibu ukweli ule ni umalaya tu wa kimfumo dume. Hafu nyie wanaume kila siku mnafanya discrimination kwa wanawake humu JF Tena nitaanzisha Uzi hapa ili JF waseme na wao Wana support hzo discrimination zenu.Unamjaza mwenzako ujinga tu, yaani kuomba radhi limekuwa suala la ajabu? Huoni Kama ame violate hata taratibu za JF kwa ku comment kitu ambacho kinaweza amsha hisia za watu un necessarily?
Ndy shida ya kutumia hisia zaidi klk maarifa.
Siombi radhi kwa huo utopolo wenu wanaume surualiUmeelewa lkn alichoambiwa aombe radhi? It has nothing to do na issue za gander.
Namjaza ujinga gani?Unamjaza mwenzako ujinga tu, yaani kuomba radhi limekuwa suala la ajabu? Huoni Kama ame violate hata taratibu za JF kwa ku comment kitu ambacho kinaweza amsha hisia za watu un necessarily?
Ndy shida ya kutumia hisia zaidi klk maarifa.
Hahaaa my dear Hawa wanaume wananifuraisha haki Yani wao kuzalilisha wanawake it's okay ni uvumilivu watakuja na verse za maandiko wakiguswa wao Sasa waombwe msamahaKwahiyo nyie attack zenu kwa wanawake mnaona ni sawa?
Ila hii ya huyu dada mnaona si sawa..
Yaani ni sawa na kumpangia huyu dada pa kumpiga adui.
Adui amempiga dada ngumi ya tumbo,dada akamtandika na teke la kichwani nyie mnasema hapana,usingempiga kichwani..ungempiga tumboni.
Comments zao ni sawa madai yao na huo ndo uanaumeNamjaza ujinga gani?
We umetunza wapi?
Kwani unadhani comments za upande wenu haziwezi kuamsha hisia za wengine???