Nini maana ya fitina na ukweli ni nini hasa ? Je ukweli ni ule ambao wewe unaufasiri au ule ambao unaafikiana na hali hilisi ?Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
Nini maana ya fitina na ukweli ni nini hasa ? Je ukweli ni ule ambao wewe unaufasiri au ule ambao unaafikiana na hali hilisi ?Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
Ndio nimemshambulia yeye maana mfano wake ulisadifu yeye alivo.Hpn Dada yngu ulitakiwa kumshambulia binafsi ila km unaona nmekosea samahani sna kila kheri...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Mimi huwa si mnafiki wa nafsi yangu I hit direct my point no meandering like river. Yeye kaanza utopolo na mie nikamalizia
Umegusa Iman za watu wengi ila usijari ndio maisha yetu hkn mkamilifu...Ndio nimemshambulia yeye maana mfano wake ulisadifu yeye alivo.
Wallah hujakosea uko sawa kabisa
Ina maana hata mfabo huna bibie ? Hilo box lina sifa gani ? Je yule anayefikiria kumtumia mwanamke kama bidhaa yeye una muweka wapi ? Au yule anaye weka kila kitu mahala pake ? Kauli yako inataka maelezo na mifano kadhaa.Akili kubwa ni inayofikiria beyong or outside the box.
Ndiyo maana nimekuuliza wewe na kama una ujuzi na hili tamko pia unaweza kunipa faida.Hyo feminist ni nyie mnaisema ndo nikauliza do you guys know the real meaning of feminist au mumecrelishwa tu
Everything is about me I don't care about what other's think about me, hata yeye kaongea statement mbovu sio yeye tu hata wanaume wengine humu na sihitaji chochote my apology won't change anything about what I believe so no need of doing it.Don't make everything about you my friend, ur statement inaweza hurt others wenye Imani ile na kuharibu uzi mzima, just be matured ànd apologize, sadly umefunga PM yako, ningekuja huko huko kukusihi.
Hahaaa watu bana wengine wakiguswa hustuki au uzalilishaji mpaka ifike kwa Imani yako. Jifunze kutetea Jambo lolote kwa haki bila kujali dini ya ntu.Umegusa Iman za watu wengi ila usijari ndio maisha yetu hkn mkamilifu...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Safi kabisa, kwa maana hiyo hao unao wasema ndiyo wako sahihi zaidi kuliko unavyowaona wewe sababu wameweka kila kitu mahala pake na hii ndiyo maana ya HEKIMA na elimu wanazo, na wewe ndiyo unafanya dhulma kwa kuondoa kitu mahala pake.Kuwa na hekima na vyote vyote
Hizo porojo zote muamuzi ni pesa!
If you have money + wisdom then you can live a very wonderful life without having to entertain any bullshit! Kama u kapuku then you will have to eat all the plain shit in this world sio kwenye ndoa tu bali popote pale ulipo!
Ukiwa na pesa utakuwa na option ya kuchagua mwanamke unayemtaka na kumshape jinsi unataka kama atazingua pia remember.
"Its okay to say no..Its okay to start over again..its okay to be alone!"
Wewe unanichosha tu huelewi hata swala dogo la Feminist Tena limeletwa na wenzako, wengine Wana harakati blah blah chineke oohIna maana hata mfabo huna bibie ? Hilo box lina sifa gani ? Je yule anayefikiria kumtumia mwanamke kama bidhaa yeye una muweka wapi ? Au yule anaye weka kila kitu mahala pake ? Kauli yako inataka maelezo na mifano kadhaa.
Ndiyo maana nimekuuliza wewe na kama una ujuzi na hili tamko pia unaweza kunipa faida.
Na unaposema ya kuwa sisi ndiyo tunasema mambo Feminist, basi sisis nfiyo tutakuwa na maana sahihi ya neno hili kuliko wewe uliye dhidi yetu. Unakubali hili ?
Naomba nisaidie kitu kimoja Dada yngu ameshambulia Iman yko au amekushambulia ww Binafsi...Hahaaa watu bana wengine wakiguswa hustuki au uzalilishaji mpaka ifike kwa Imani yako. Jifunze kutetea Jambo lolote kwa haki bila kujali dini ya ntu.
Hyo ya kuwaona wako na hekima zaidi ni mtazamo wako sio mimiSafi kabisa, kwa maana hiyo hao unao wasema ndiyo wako sahihi zaidi kuliko unavyowaona wewe sababu wameweka kila kitu mahala pake na hii ndiyo maana ya HEKIMA na elimu wanazo, na wewe ndiyo unafanya dhulma kwa kuondoa kitu mahala pake.
Mimi amenishambulia na Mimi nikashambulia jina lake na tabia zao zilivo kwa ujumla hyo ya Imani sijui mimiNaomba nisaidie kitu kimoja Dada yngu ameshambulia Iman yko au amekushambulia ww Binafsi...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Sawa kila la kheri naomba tna unisamehe nilipo kukwaza siku njema...Mimi amenishambulia na Mimi nikashambulia jina lake na tabia zao zilivo kwa ujumla hyo ya Imani sijui mimi
Hujanikwaza kabisa peace and loveSawa kila la kheri naomba tna unisamehe nilipo kukwaza siku njema...
Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
Hutakiwi uangalie mtazamo wangu au wako,tunachotakiwa kuangalia ni upi usahihi, ndiyo maana nikakupa wasaa uweke ushahidi,hili linaonyesha wazi kabisa kwamba huna ushahidi zaidi unaishi kwa kusikia maneno ya watu, na hii ni ishara tosha ya kuonyesha huitumii akili yako vizuri bali unaongozwa na hisia kuliko ukweli.Hyo ya kuwaona wako na hekima zaidi ni mtazamo wako sio mimi
Everything is about me I don't care about what other's think about me, hata yeye kaongea statement mbovu sio yeye tu hata wanaume wengine humu na sihitaji chochote my apology won't change anything about what I believe so no need of doing it.
Huna haja ya kuja PM kufanyaje Sasa
Bro money can buy a woman and love but not True love, at some point binaadamu atahitaji penzi la kweli, ambalo hawezi nunua na pesa.