Ameisha kuwa futuhi
Maalim anajigeuza kuwa futuhi.
Maalim anajigeuza kuwa futuhi.
Jana maalim Seif katema madini!Sio kwa hiki anachokiongea sasa.
Afadhali aliko Lipumba kuliko aliko Lisu!Anaelekea aliko Lipumba.
Unampelekaje mahakamani mtu anaekulisha,kukulinda na kukupa huduma zote zinazostahiki!
Mwongo mkubwa wewe na JK! Amani alijulikana hata alipokuwa waziri wa komandoo! Acha kudanganya watoto na JK wakoHussein Ally Hassan Mwinyi ana busara kama ya Baba yake....
Una Fanya njama za kumuua MTU, akikimbia kujinusuru unamuita futuhi? Hizi akili ni zaidi ya kinyesi kisichofaa hata kwa mbolea bustanini.Futuhi wako Ufipa kiongozi wao Wakukurupuka yuko Ubelgiji!
Manyumbu yataamini haya maneno.Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif amesema licha ya ACT Wazalendo kujiunga na SUK bado madai yao ICC yapo pale pale....
Usijitie upofu wewe! Hadhi ya Lissu kwa sasa ni Internationally. Kwa nyie MATAGA "pipoz uzidi tu dayi inithe reki" hamuwezi kulielewa hiloAfadhali aliko Lipumba kuliko aliko Lisu!
Siku nikisikia huyu mzee anaokota makopo siwezi kushangaa kabisa.
Nimemsikia BBC Swahili haeleweki anachokizungumza kabisa. .
Sasa hiyo pilipili wamejipaka machoni na sehemu zingine wanazojua wao. Tumewashukia kama mwewe na tumewatimua wamebaki wabunge wa Mataga Garage Auto-spare.
Jana maalim Seif katema madini!
Ipe maneno picha🤣🤣🤣PICHA yangu ya kufungia Mwaka View attachment 1644899
Jana maalim Seif katema madini!