Bongoclever
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 105
- 11
Habari Zenu Jf Members?
kuna maswal mengi sana huwa najiuliza inakuwaje watu wanafanana sura na ili hali hawatoki ukoo mmoja, unakuta labda 50 cent kafanana na mtu kutoka Kenya. mpaka msemo wa dunian wawil wawil ukaibuka. hii imekaaje asee? mwenye uwelewa wa hii kitu anifafanulie
kuna maswal mengi sana huwa najiuliza inakuwaje watu wanafanana sura na ili hali hawatoki ukoo mmoja, unakuta labda 50 cent kafanana na mtu kutoka Kenya. mpaka msemo wa dunian wawil wawil ukaibuka. hii imekaaje asee? mwenye uwelewa wa hii kitu anifafanulie