Maajabu ya Serikali ya CCM kusalimu Mwishoni

Kumekuwa na kelele nyingi za watu kuashiria kutoridhika na agenda kadhaa za serikali.

Rejea misimamo ya serikali na wapambe wao kwenye:

1. Uwepo wa Corona
2. Umuhimu wa kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
3. Uhitaji wa chanjo dhidi ya Corona
4. Umuhimu wa wanafunzi wanaopata mimba kurejea shule.

Ikumbukwe tumepita huku:

View attachment 2022822

Kwamba leo tuko hapa:

View attachment 2022824

Kipi walicho tunyanyapaa nacho, walikomaa nacho hadi mwisho?

Tutafika tu. Kwani wala ipo hiyana basi? Ya msingi zaidi yanayobakia:

I. Mbowe siyo gaidi
II. Tunataka katiba mpya.

Hawa ni suala la muda. Tutaelewana tu.

View attachment 2022825

Kwamba leo ajira zimeongezeka?

Labda kama ni mahsusi kwa ajili ya kuwaambia ndege.
brazaj , asikudanganye mtu, hii ni international pressure. Bila hivyo haya majitu yasingelisalimu amri. Ndiyo maana nasema hata kesi ya Mbowe, Lisu has to go around the democratic world to request them to pressurize Samia to drop these fabricated charges against Mbowe
 
brazaj , asikudanganye mtu, hii ni international pressure. Bila hivyo haya majitu yasingelisalimu amri. Ndiyo maana nasema hata kesi ya Mbowe, Lisu has to go around the democratic world to request them to pressurize Samia to drop these fabricated charges against Mbowe

Pamoja na yote, "our fate remains solely in our hands."

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Alikuwa farah sana huyo mzee. Ataendelea kukumbukwa kama Waganda wanavyomkumbuka Idd Amin.
For your information baada ya nyie wapuuzi wachache kujua ukweli, marais ambao hawatasahaulika hapa Tanzania ni Mwl Nyerere na JPM
 
Kwa nini sasa unalalamika kuhusu mtoa mada kumkumbuka? Kwani mimi nimesemaje? Unarudia tu nilichokisema. Kwamba huyo farah atakumbukwa hata katika kifo kwa ufarah wake km ilivyo kwa Idd Amin.
For your information baada ya nyie wapuuzi wachache kujua ukweli, marais ambao hawatasahaulika hapa Tanzania ni Mwl Nyerere na JPM
 
Nyote mlaaniwe na roho zenu za husda. Mnaongea vitu kufuata mkumbo. Unashangilia mtoto akipata mimba arudi darasani, kwa wapuuzi kama brazaj sawa ila mwenye akili hawezi kufurahia maana serikali inatakiwa kuhakikisha mtoto ambaye hajawa tayari kubeba mimba haibebi.

Mimba haitoke hewani au kama ya Bikra Maria, bali inatoka katika kujamiiana; je, tunaruhusu kujamiiana? Mbona watu wanahangaika na matokeo (end result) baadala ya kupambana na chanzo (source).

Aidha unadhani bila kujua chanzo cha kuanza kujamiiana unakuwa umepata jawabu la tatizo, la hasha. Kama ni umaskini uliomsababisha mtoto ajamiiane ili apate pesa za kujikimu, je akirudi shule ufukara huo utakuwa umekoma au umeongezeka. Hili suala ni zito siyo kama wapuuzi kwa kumchukia JPM wanataka kutueleza
Jiulize ni kwanini Jiwe anachukiwa sana na watu wenye akili na kupendwa na watu wale wa twaweza ukiwemo wewe
 
For your information baada ya nyie wapuuzi wachache kujua ukweli, marais ambao hawatasahaulika hapa Tanzania ni Mwl Nyerere na JPM
Acha kujitoa akili, labda akumbukwe na watu kama wewe, pil acha kumchanganya Nyerere na.....
 
Pamoja na yote, "our fate remains solely in our hands."

Au nasema uongo ndugu zangu?
Yes our fate remains in our hands including seeking international assistance as we did during Uhuru struggle in Southern Africa
 
Yes our fate remains in our hands including seeking international assistance as we did during Uhuru struggle in Southern Africa

Whoever is willing to listen, help or support is obviously welcome. However our role onto this should not be underestimated.
 
Acha Uongo Biashara gani au BIASHARA za MACHINGA?

Hiyo numerali itasoma vipi kama hao hawamo?

IMG_20211125_104553_412.jpg


Viwanda vya vyerehani si wavikumbuka?
 
Back
Top Bottom