- Thread starter
- #41
Kuna mambo yanasikitisha sana...
Uzuri ni kuwa hatima yetu i mikononi mwetu ..
Kuna mambo yanasikitisha sana...
Sana...Wale Wahutu Utawala uliwashinda warudi makwao kaburini tu.
No, si sawa and thats the biggest problem.I don't. Why should I? Kuajiriwa au kujiajiri zote ajira tu mkuu.
Nenda kaajiriwe mgambo Halmashauri inayotegemea kodi za biashara..Acha Uongo Biashara gani au BIASHARA za MACHINGA?
Wewe ni mpuuzi, bishaAcha kujitoa akili, labda akumbukwe na watu kama wewe, pil acha kumchanganya Nyerere na.....
No, si sawa and thats the biggest problem.
Mwakiriwa analipwa, promptly, mwisho wa mwezi na kodi zake zinakusanywa na mwajiri wake kuziwasilisha TRA.
Nenda kaajiriwe mgambo Halmashauri inayotegemea kodi za biashara..
Hata kirungu hutopewa
Babu na ndugu zako walokufa wamelaaniwa?Waliolaaniwa wameshakufa!
Jijibu mwenyewe halafu ufe kwa covid!Babu na ndugu zako walokufa wamelaaniwa?
Ha ha ha!Angalia hapa:
View attachment 2023685
List hiyo ina wote kuanzia Samia, mgambo wa jiji bila shaka hadi kahaba 😁😁.