Kumekuwa na kelele nyingi za watu kuashiria kutoridhika na agenda kadhaa za serikali.
Rejea misimamo ya serikali na wapambe wao kwenye:
1. Uwepo wa Corona
2. Umuhimu wa kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
3. Uhitaji wa chanjo dhidi ya Corona
4. Umuhimu wa wanafunzi wanaopata mimba kurejea shule.
Ikumbukwe tumepita huku:
Kwamba leo tuko hapa:
Kipi walicho tunyanyapaa nacho, walikomaa nacho hadi mwisho?
Tutafika tu. Kwani wala ipo hiyana basi? Ya msingi zaidi yanayobakia:
I. Mbowe siyo gaidi
II. Tunataka katiba mpya.
Hawa ni suala la muda. Tutaelewana tu.
Kwamba leo ajira zimeongezeka?
Labda kama ni mahsusi kwa ajili ya kuwaambia ndege.
Rejea misimamo ya serikali na wapambe wao kwenye:
1. Uwepo wa Corona
2. Umuhimu wa kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
3. Uhitaji wa chanjo dhidi ya Corona
4. Umuhimu wa wanafunzi wanaopata mimba kurejea shule.
Ikumbukwe tumepita huku:
Kwamba leo tuko hapa:
Kipi walicho tunyanyapaa nacho, walikomaa nacho hadi mwisho?
Tutafika tu. Kwani wala ipo hiyana basi? Ya msingi zaidi yanayobakia:
I. Mbowe siyo gaidi
II. Tunataka katiba mpya.
Hawa ni suala la muda. Tutaelewana tu.
Kwamba leo ajira zimeongezeka?
Labda kama ni mahsusi kwa ajili ya kuwaambia ndege.