Omutontozi
Senior Member
- Nov 12, 2021
- 122
- 213
Tanzania iko tayari kuzuia bidhaa za Kenya, Uganda nk, hivyo hivyo Kenya yuko tayari kuzuia bidhaa za Tanzania lakini nchi hizo haziko tayari kuzuia bidhaa za China.
Yaani bora Mchina kuliko jirani yako? Roho za kiafrika za kutotaka jirani afanikiwe zinatumaliza yaani tuko tayari kujenga uchumi wa china kuliko uchumi wetu wa kikanda? Waafrika tumerogwa si bure, Bidhaa za china zimetapakaa katika Nchi zetu na hazina Vikwazo ila badhaa kutoka nchi jarani vikwazo kibao.
Yaani bora Mchina kuliko jirani yako? Roho za kiafrika za kutotaka jirani afanikiwe zinatumaliza yaani tuko tayari kujenga uchumi wa china kuliko uchumi wetu wa kikanda? Waafrika tumerogwa si bure, Bidhaa za china zimetapakaa katika Nchi zetu na hazina Vikwazo ila badhaa kutoka nchi jarani vikwazo kibao.