Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Vitu vingine vina jieleza vyenyewe kama mtu ana weza kukupa mahitaji yako yote kwanini asiwe ana kupenda? Na ujuwe kuna aina hiyo ya wanaume wagumu kuonyesha hisia zao ila utaona kwa vitendo angalia usije kuwa una chezea shillingi chooni kisa kupetiwa
duh...kweli eeh
 
Kikubwa anakuhudumia kila unachotaka anakupa hivyo vingine achana navyo tu, angekua hakupendi sidhan kama angekua anatimiza vyote.
nampet sana ndo naona nalemewa
 
Sheee*****iii sana ....weee mdada wenzio wanasaga meno kulilia mtu wa kuwatunza, kuwahudumia, wewe unapewa hadi surplus halafu unaleta maujinga yako eti vipi jamaa ananipenda......mppyuuuu.....anyway labda kama umekuja kututambia sisi wanawake wenzako kama mwenzetu una jamaa anaekujali, otherwise stop ur nonsense, keep obeying ur man down to earth, of his kind are no where to be seen! If I were u mmmhhh nahisi ningekua naitika kabla hata hajaniita.....kwa usawa huu wa magu.....uuuwwwii!
duh....umenigombeza sanabt thanks...mekuelewa
 
in-short wanawake haturidhiki kwa kweli..kama wanaume vile hat mkeo awe mzuri wa sura na tabia kias gani utaona tuu kuna kitu kina miss...
 
Hajui ugumu wa kutafuta pesa ndio maana analeta ujinga, na pia hajui bei ya moyo wenye kujali, baya zaidi hajaitambua nafasi yake kama mwanamke kwenye penzi lao. Analishwa, anapewa kila kitu, yeye ndio anatakiwa awe anamtia hamu jamaa, yaani ampetipeti jamaa, sasa iko upside down yeye ndio anataka jamaa anae toil ili yeye ale tena apate na kazi ngumu ya kumpetipeti...loooohhh! Anatakiwa kupelekwa mkoleni hakyanani!
nikwambie kitu.....nisingekua nampet asingefanya hayo....sema mm pekeang ndo namtafta kweny sim kumchek n akila kit yy ana provide tu....sio et nimebweteka NO
 
yes naona umejib vbaya...ila thanks kwa ushaur
ahhahahhaha acha kuzingua!
mi mekupa ushauri kama ulivoulizA!
kukaza si umeandika mwenyewe?
sasa mi kuongezea kikazwa tu hapo ndo unaona issue?
ILA KWELI MALIZA MKAZO OSHA PAPA!lala!MUACHE AKATAFUTE HELA NAULIA YA KURUDI UNAKOKAA UJIENDELEE KUANGALIA TELEMUNDO!
 
ahhahahhaha acha kuzingua!
mi mekupa ushauri kama ulivoulizA!
kukaza si umeandika mwenyewe?
sasa mi kuongezea kikazwa tu hapo ndo unaona issue?
ILA KWELI MALIZA MKAZO OSHA PAPA!lala!MUACHE AKATAFUTE HELA NAULIA YA KURUDI UNAKOKAA UJIENDELEE KUANGALIA TELEMUNDO!
haya
 
Wewe ndio umpetipeti! Mwambie yote matamu, ukimpelekea mgegedo hakikisha uko katika viwango vizuri, yaani uko sawa kimuonekano kama mwanamke, ukifika kule hakikisha unampa raha zote hubakishi hata chembe, unajituma kwenye mgegedo, mwambie mara nyingi nyingi kuwa unampenda, na umsifie vile anavyokugegeda vizuri na usisahau kumshukuru kwa vile anavyokujali....fanya hayo ongeza na ya kwako, halafu ulete mrejesho hapa! Kubwa zaidi, muweke chini ya ulinzi wa Mungu kwa imani yako maana wa hivyo wanawindwa!
Amen....asantr sana
 
Sasa uwe unaomba tu nauli mara kwa mara akianza kutokukupa ujue kuna wenzio nao wanakazwa ivo ivo maana hata mimi najifananisha na huyo jamaa,,, ninao wengi huwa wanakuja kila mmoja kwa mda wake
 
Hawaridhikagi hawa viumbe

usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..
Hatari Sana Mkuu, yan miaka mitatu hana kazi anamtegemea jamaa kwakila kitu na anamtimizia vyote lakini haridhiki!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom