Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Mkiwa faragha haujishughulishi ndio maana haoni umuhimu Wa kuwa na wewe
KWEL NYINYI KAMA KUKU HAMNA FORMULA, JAMAA ANAKUHONGA, BADO ANAKUGONGA WAKAT MM MWAKA WA PILI NAGONGA BILA HATA KUHONGA. SASA UNATAKA UFANYIWE NN...Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
Ukimkubali huyo, basi utakuwa unamkubali mtu yeyote yule kwenye hii sayari! Yaani huchagui wewe kila kila twendeeeeeKifimbo cheza wa jf.
Kwan nlikuahid ntakupa v yote na unaamin na huko unapoenda utapata v yote?Sio wehu, nilikuja nikijua nitavipata vyote, kumbe huna vyote, basi ndio ninaamua kutafuta vile usivyonavyo.
Ntakusaidia kwenye swala la kukupetipeti,ila matumizi yatabaki kwake,upo tayali?Habari zeny wana jamii forum....jaman leo nimekuja na stor inayonihusu..inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no.job..sasa jamaang tang nikutane nae ni 2 years sasa ananiudumia kwa.kila kitu mpaka credt jamani...kanipangia na analipa kod na matumiz yote napata ila haniambiagi Ananipenda wala kanimiss au kamiss masham.sham yang adi nimwambie naham ae ndipo.atume naul noendei....na ananikaza kisawasawa.nikienda...sasa nimweleweje...kuna upendo.apo? matumiz yote napata ila.hanipeti peti nimweleweje?
labda mpiga picha tuuHakyamungu mtu akija kupata formula ya kuelewa mahtaj ya mwanamke atakua milionaire
Suala sio kuniahidi bali ndivyo inavyotakiwa iwe, kwakuwa hakuna vyote ndio maana anachepuka(hakuachi) ili akapate vile usivyonavyo.Kwan nlikuahid ntakupa v yote na unaamin na huko unapoenda utapata v yote?
ha ha ha wanawake bwana your too selfish mtasema mmeletwa hii dunia kupewa kila kitu, nakuhakikishia adamu kama kungekua na mwanamke mwengne pamoja na hawa angechepuka tu kwa hawa,Suala sio kuniahidi bali ndivyo inavyotakiwa iwe, kwakuwa hakuna vyote ndio maana anachepuka(hakuachi) ili akapate vile usivyonavyo.
Hamridhikagi nyie, mbona mkitongozwa na makapuku hamkubali?Upande mwingine wa shilingi ni muhimu tena sana.
Otherwise huyu dada akija kupata kazi nzuri na kujiweza kiuchumi yuko likely kumuacha jamaa.
Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu
unashangaaaa mkuu ndivyo walvyooWenzako wanalilia kuhudumiwa we unalilia kupetiwa, vitu vingne havtakag ujuaj
ha ha ha wanawake bwana your too selfish mtasema mmeletwa hii dunia kupewa kila kitu, nakuhakikishia adamu kama kungekua na mwanamke mwengne pamoja na hawa angechepuka tu kwa hawa,
back to the topic hakuna alie perfect but you make your own perfect kama utasubir ukapewe na kila mtu ili utimize perfectism yako sina uhakika kama utafanikiwa