yondosister
Member
- Mar 22, 2010
- 87
- 43
Utakuwa na wewe mteja wake jams huwezi ukawa unajua updates zake zote hongera mkakaHa ha ha ha una akili nyingi sn
Utakuwa na wewe mteja wake jams huwezi ukawa unajua updates zake zote hongera mkakaHa ha ha ha una akili nyingi sn
Ila awe makini tu acje akapinduliwa maana miss chagga si wakisport sporthahahahh miss chagga aje tu amfunde

Mwanaume akimkinai Mwanmke ndo huwa yuko ivyo..yani hana Amsha amsha na ww na kuhs kukuhudumia cjui,Cjui sex anafanya Kutimiza wajib tu ucje mlaumu wala kumlalamikia@Habari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
okMwanaume akimkinai Mwanmke ndo huwa yuko ivyo..yani hana Amsha amsha na ww na kuhs kukuhudumia cjui,Cjui sex anafanya Kutimiza wajib tu ucje mlaumu wala kumlalamikia@
MeaningHivi kwanin member wengi wanaotoa post wamejiunga from january hii inamaanisha nini?
Am askingMeaning
Kwamba mkuu umelenga kutuambia nn kweny swaL Lako hebu funguka chiefAm asking
Ni kwamba wengi tayari walishakuwepo ila wamekuja na ID nyingine tu maana hata uandishi wa thread wanaonekana wazoefu wa JFKwamba mkuu umelenga kutuambia nn kweny swaL Lako hebu funguka chief
Ndo yule yule ninaemjua mimi? leo unataka kumtoa as a batter trade?Tubadilishane nikupe anaepet peti unipe huyo
Usijali nipe namba yako nikueleze vizuriHabari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
huyu ni mwingineNdo yule yule ninaemjua mimi? leo unataka kumtoa as a batter trade?
Ngoja nimuite
Hahaahhhha dah sijui lipi kosa kubwa kati ya hili na lilehuyu ni mwingine

Huyo kipofu nahisi anasingiziwa tuHuku Vanessa anaimba mwanaume Suruali huku mleta mada ye anataka kupetiwa petiwa "Wanawake mwalimu wenu kipofu"