Inakuaje mtu mzima na gari unamiliki mafuta unanunua wewe lakini bei zikipanda umtegemee mwingine kukupigania? Wengine tunawasoma humu ndani kila wakati wanabeza zinazoitwa harakati, jana nimewasoma wanamlilia mwingine awapiganie. Kwenye nyongeza ya mishahara hivyo hivyo. Vijana wa kitanzania mmekuwa vilema au bubu? Kimsingi sio malamiko genuine ni siasa za kupambania legacy ya mtu na kukumbatia ujinga mliojazwa kwamba mna mkombozi halali anawapenda. Siku itapofika tipping point ndio mwisho wa utegemezi kwa wengine kupambania ya msingi.