Maajabu ya herufi "k"

Maajabu ya herufi "k"

Juma Kiroboto Kassim "Nature"
 
na mimi kishasha.
aisee mawazo ya kijima haya sijapata kuona, kwa hiyo herufi nazo zina bahati?
ni kwa africa tu au dunia nzima?

zumbemkuu

Hahaha! Umenikumbusha mshkaji wangu KISHASHA nilicheza naye kabumbu timu ya Vatican pale Lushoto anakaa mitaa ya Chakechake na mimi kipindi hicho nikiwa nakaa Kitivo! Hahaha Kishasha aka Kishen batambuze!
 
Last edited by a moderator:
Hebu tazama watu ambao jina la ubini limeanza na herufi k walivyofanikiwa
Jakaya kikwete
Amani karume
Jommo kenyatta
Mwai kibaki
Paul kagame
Fareed kubanda
Juma kaseja
John kennedy
Laurent kabila
Zitto kabwe
Si hivyo tu, herufi K pia huwakilisha majina ya vyakula vitamu kama vile
Kashata
Korosho
Karanga
Kisheti
Kitumbua
Kungu...
 
zumbemkuu

Hahaha! Umenikumbusha mshkaji wangu KISHASHA nilicheza naye kabumbu timu ya Vatican pale Lushoto anakaa mitaa ya Chakechake na mimi kipindi hicho nikiwa nakaa Kitivo! Hahaha Kishasha aka Kishen batambuze!
hahahaha! safi sana aisee!
mimi ndo kishasha ila sio huyo wa chakechake,
teh teh teh
 
maajabu mengine ya herufi k ni hii hapa

kukosa kazi
kutokuwa na kazi
kuwinda mabwana kwa mtandao
kuwinda wasichana kwa mtandao
 
Back
Top Bottom