Maajabu ya dunia-live ktk tv za asia

hawa jamaa huwa ndio tishio letu katika utalii......serikali yetu inatambua hilo lakini sijui kwa nini hailishughulikii.......na cha kushangaza hawana vivutio kama tulivyo navyo sisi.....huwa mara nyingi tunawabana pale wanapopatwa na matatizo......ndio inakuwa neema kwetu.....

tatizo lipo wapi Preta? kwanini wawetishio wakati sisi ndio wenye kila kitu kuzidi wao? rushwa rushwa rushwa
 
Nchi ya vilaza hii.. usishangae baada ya hii posti ndio waziri kashtuliwa kuhusu hii migration

Tuna laana sisi sio bure.. sasa ulizia bei za vitalu vya kuwindia na bei za twiga hai utakimbia manake wanazo kwenye finger tips!!
 

Kuanzia leo tarehe 22/07/2012 wanyama kutoka MASAI MARA wataanza kusafiri na kuelekea SERENGETI,wamekaa masai mara kwa miezi 3 na sasa wataenda serengeti na watakaa huko kwa miezi 8

Tv zote za kimataifa macho yao yapo huko ili kuweza kuonyesha moja kwa moja wananchi wao jinsi wanyama hao wanavyosafiri
na jana tu baadhi ya hizo TV ziliomba jambo hili liingizwe ktk moja ya maajabu ya dunia

je wewe kama mtanzania,mbuga ipo tanzania unayaelewa haya? tv zetu zinaelewa haya? viongozi wetu wanaelewa haya?

chakushangaza ni tv za asia na kenya ndizo zinaonyesha maajabu haya,wapi watanzania? baadae tusianze kulalama wenzetu wakiwa wanapeleka watalii kuangalia safari za wanyama hao kutoka serengeti kwenda masai mara na kutoka masai mara kwenda serengeti

tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

KWA WENYE MTANDAO ANGALIA CCTV 13 ONA HAPA LIVE

CCTV13?_???????

KWA WALE MSIOELEWA KICHINA MNAWEZA ONA HII

CCTV News Live - CDN Live Streaming - CCTV Program online

Kama kawaida kwenye hili serikali yetu iko usingizini haijui kinachoendelea. How do they broadcast live the migrations? Is it aerial or terrestial broadcasting? Any fees paid to us for broadcasting?
 
Hii ndiyo migration kubwa (yenye wanyama wengi) zaidi duniani. Nyumbu zaidi ya mil 2 huwa wanahama, ila nashangaa hatufaidiki nayo. Bongo hata 2ngepewa paradise bado 2ngekua 2mefulia tu
 
Hii ndiyo migration kubwa (yenye wanyama wengi) zaidi duniani. Nyumbu zaidi ya mil 2 huwa wanahama, ila nashangaa hatufaidiki nayo. Bongo hata 2ngepewa paradise bado 2ngekua 2mefulia tu

nadhani kuanzia sasa tunahitaji kujipanga na kuangalia uwezekano wa kufaidika na uhamaji wa wanyama hawa,maana nachokiona ni hizi tv za asia kuungana na ndugu zetu wakenya na kufanya matangazo live,ni kweli nasi inatusaidia lakini tuache kulala na tuamke sasa.
 
Jana kupitia radio free africa nilisikia jamaa akiuliza swali VOA... ni kwamba wanyama hawa hujikusanya kabla ya kuanza safari hiyo, ni kama huwa wanawasiliana hivi, husafiri kwa makundi makubwa wakiwemo simba, swala na wengineo kwa jinsi alikua anasimulia ni kweli ni maajabu.
 

Kuanzia leo tarehe 22/07/2012 wanyama kutoka MASAI MARA wataanza kusafiri na kuelekea SERENGETI,wamekaa masai mara kwa miezi 3 na sasa wataenda serengeti na watakaa huko kwa miezi 8

Tv zote za kimataifa macho yao yapo huko ili kuweza kuonyesha moja kwa moja wananchi wao jinsi wanyama hao wanavyosafiri
na jana tu baadhi ya hizo TV ziliomba jambo hili liingizwe ktk moja ya maajabu ya dunia

je wewe kama mtanzania,mbuga ipo tanzania unayaelewa haya? tv zetu zinaelewa haya? viongozi wetu wanaelewa haya?

chakushangaza ni tv za asia na kenya ndizo zinaonyesha maajabu haya,wapi watanzania? baadae tusianze kulalama wenzetu wakiwa wanapeleka watalii kuangalia safari za wanyama hao kutoka serengeti kwenda masai mara na kutoka masai mara kwenda serengeti

tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

KWA WENYE MTANDAO ANGALIA CCTV 13 ONA HAPA LIVE

CCTV13?_???????

KWA WALE MSIOELEWA KICHINA MNAWEZA ONA HII

CCTV News Live - CDN Live Streaming - CCTV Program online

umetoa taarifa nzuri ila kwa sasa wanyama bado hawajaanza kurudi tz kwani mda huu wako western corridor of serengeti na ndio wanavuka mto grumeti na kenya wanaanza kuingia mwezi huu mwanzoni na mwanzoni mwa mwezi wa nane. Sasa baada ya hapo ukiweka hiyo miezi 3 ni kuwa kwenye mwezi wa 9 -11 ndiyo wanarudi huku tz ambapo mwezi wa 12-1 ndiyo wanakuwa serengeti/ngorongoro
 
Jana kupitia radio free africa nilisikia jamaa akiuliza swali VOA... ni kwamba wanyama hawa hujikusanya kabla ya kuanza safari hiyo, ni kama huwa wanawasiliana hivi, husafiri kwa makundi makubwa wakiwemo simba, swala na wengineo kwa jinsi alikua anasimulia ni kweli ni maajabu.
Lukansola, Pasco, mnaweza kutuambia hatimiliki ya hao wanyama anayo nani? Inakuwaje warushe live event yetu? Ichungzwe kama kuna mkataba umeingiwa kwa hasara yetu, point of ref. Hatuwezi rusha live sports za ulaya bila kulipia, na hatuwezi kuangalia michezo hiyo fee of charge!!!!!! Tumechoshwa na michanga ya macho jamani.
 
Last edited by a moderator:
Jana kupitia radio free africa nilisikia jamaa akiuliza swali VOA... ni kwamba wanyama hawa hujikusanya kabla ya kuanza safari hiyo, ni kama huwa wanawasiliana hivi, husafiri kwa makundi makubwa wakiwemo simba, swala na wengineo kwa jinsi alikua anasimulia ni kweli ni maajabu.

mkuu.....anayesafiri hapa huwa ni nyumbu na pundamilia pekee......na vulture huwa wanawafuatilia hadi Masai Mara.......
hivi hawa nyumbu ni waKenya au waTanzania......?
 
mkuu.....anayesafiri hapa huwa ni nyumbu na pundamilia pekee......na vulture huwa wanawafuatilia hadi Masai Mara.......
hivi hawa nyumbu ni waKenya au waTanzania......?

wakiwa masai mara ni upande wakenya na wakivuka kuja serengeti ni watanzania,sinaa hakika zaidi
 
wakiwa masai mara ni upande wakenya na wakivuka kuja serengeti ni watanzania,sinaa hakika zaidi

zamani kuna mtu aliniambia....eti ni waTanzania kwa sababu wanazaliana huku kwetu.....kule Kenya huwa wanaenda matembezi tu.....inaweza kuwa kweli....?
 
mkuu.....anayesafiri hapa huwa ni nyumbu na pundamilia pekee......na vulture huwa wanawafuatilia hadi Masai Mara.......
hivi hawa nyumbu ni waKenya au waTanzania......?


Asante Preta, basi huyu mtangazaji wa VOA amechakachua, thanks for ufafanuzi.
 
Last edited by a moderator:
Lukansola, Pasco, mnaweza kutuambia hatimiliki ya hao wanyama anayo nani? Inakuwaje warushe live event yetu? Ichungzwe kama kuna mkataba umeingiwa kwa hasara yetu, point of ref. Hatuwezi rusha live sports za ulaya bila kulipia, na hatuwezi kuangalia michezo hiyo fee of charge!!!!!! Tumechoshwa na michanga ya macho jamani.


Swali zuri jogi, lakini sishangai mbona kuna madudu mengi tu yanaendelea kimya kimya na sisi hatujui, kama watu waliweza kuwapandisha twiga ndege itakuwa hii kuwapiga picha tu...
 
Last edited by a moderator:

Kuanzia leo tarehe 22/07/2012 wanyama kutoka MASAI MARA wataanza kusafiri na kuelekea SERENGETI,wamekaa masai mara kwa miezi 3 na sasa wataenda serengeti na watakaa huko kwa miezi 8

Tv zote za kimataifa macho yao yapo huko ili kuweza kuonyesha moja kwa moja wananchi wao jinsi wanyama hao wanavyosafiri
na jana tu baadhi ya hizo TV ziliomba jambo hili liingizwe ktk moja ya maajabu ya dunia

je wewe kama mtanzania,mbuga ipo tanzania unayaelewa haya? tv zetu zinaelewa haya? viongozi wetu wanaelewa haya?

chakushangaza ni tv za asia na kenya ndizo zinaonyesha maajabu haya,wapi watanzania? baadae tusianze kulalama wenzetu wakiwa wanapeleka watalii kuangalia safari za wanyama hao kutoka serengeti kwenda masai mara na kutoka masai mara kwenda serengeti

tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

KWA WENYE MTANDAO ANGALIA CCTV 13 ONA HAPA LIVE

CCTV13?_???????

KWA WALE MSIOELEWA KICHINA MNAWEZA ONA HII

CCTV News Live - CDN Live Streaming - CCTV Program online
Tuko bungeni na TBC tunapitisha bajeti ya kilimo tukiwa 110,tehe tehe!nimeona walinzi wa mbuga ya masai mara kenya wakitoa maelezo sisi tuko bungeni tunapitisha bajeti,kuua soo la kutokuahirisha kikao cha bunge,kutengeneza sms za nchemba,nk!
 
Nyumbu wako Serengeti wako maeneo mwa magharibi,Ikorongo/Grumeti na Fort Ikoma kuelekea Kaskazini mwa Hifadhi na ndo wanaelekea Masai Mara.
Kwa hiyo siyo kweli kwamba wanatoka Masai Mara kuelekea Serengeti.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu Eng. Mtolera, haya ni mambo ya awareness campaign na kuwa conscious!. Viongozi wetu na ma promoteters wetu wa utalii kila siku wanashinda ulaya wakihudhuria kwenye mafunzo, mikutano, semina, warsha, makongamano na vikao vya kukuza utalii, lakini wanachorudi nacho ni yale ma jumbo suitcases na hawa implement chochote!, kumbe wakifika kule, mawazo yao ni shopping tuu kwa zile per diem zao ndefu walizovuta!.

Wenzetu Kenya wamelipromote tukio hili kimataifa, sasa hivi kuna malaki ya watalii nchini Kenya waliobook several months in advance ili wasikose nafasi kushuhudia maajabu haya ya dunia, cha ajabu zaidi ni communication na mobilization ya mamilioni ya wanyama hawa kwanza kujikusanya mahali pamoja na kusubiria kipenga, na huanza kutimka kwa mbia za ajabu na kutumia ruti moja!.

Huwezi amini Utalii Tanzania, unatangazwa zaidi na Wakenya kuliko sisi Watanzania!. Idadi ya Wazungu wanaokuja kupanda mlima Kilimanjaro, wengi zaidi wanapitia Kenya na kuiacha pesa yote huko, na kutuletea sisi peanut ya viingilio na vitafunwa!. Wakenya wanautangaza Mlima uko kwao na sasa wanajenga Internation Airport chini ya mlima kule upande wao, ndio watumalize kabisa!. Hata utalii wa Zanzibar, unatangazwa zaidi na Wataliano kuliko Wanzanzibari wenyewe!.

Mungu ametujalia Watanzania kila aina ya maliasili, ila pia ametujalia na upendo mkubwa kabisa wa mshumaa, tukimulikia wenzetu huku kwetu kunateketea!, kitafikia kipindi ile barafu kule kileleni itayeyuka na kuisha kabisa!, yale madini yatamalizika na kubakia mashimo!, mito itakauka, na bahari itakupwa!, by that time ikifika, mshumaa ndio utakuwa umefikia chini kabisa!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

PASCO ingekuwa upo Uganda enzi za utawala wa Idi Amini hadi sasa ungekuwa ushaapishwa waziri wa wanyamapoli..hii nchi yetu inaboa sana, nilimuona Kagasheki yupo USA anapromote hivi vivutio kwenye stadium za Seattle, so sijui kama alikumbuka hiki kitu, au alifanywa kuitwa na akakutana navyo huko, ngoja tusubiri, maana inashangaza hata kwenye airports zetu matangazo ya simu ni mengi kuliko other opportunies, nilitegemea kukuta matangazo makubwa ya hifadhi zetu all over the airport arrivals na departures ya kuonyesha all these, ila Nyerere road kote yamejaa "ari mpya, Nguvu mpya na Kasi zaidi" au "maisha bora kwa kila mtz", hata huko KIA au Arusha kunakoaminika kuwa ni kitovu..hakuna lolote si barabarani wala mtaani, labda kama wamebadirika leo..mbona vitu vingine wanacopy "sijui mabunge ya Jumuiya ya Madola wanafanya hivi", if that is a case mbona hawaigi Kenya wanafanyaje?..ninaumia sana
 
nadhani kuanzia sasa tunahitaji kujipanga na kuangalia uwezekano wa kufaidika na uhamaji wa wanyama hawa,maana nachokiona ni hizi tv za asia kuungana na ndugu zetu wakenya na kufanya matangazo live,ni kweli nasi inatusaidia lakini tuache kulala na tuamke sasa.

Tutaamka saa ngapi ndugu yangu wakubwa wenyewe wamekalia kupeleka watu wanaodai haki Mabwepande!!? Kwa uongozi wa DHAIFU hatupati chochote. Yaani wananchi wangekuwa wanasikia 2015 tungekiweka pembeni hiki chama kilichozaa Serikali lege lege!
 
Nchi inaongozwa na wagonjwa wa ukimwi, muda wote wanawaza ni lini waende kubadili damu, ili kupunguza kasi ya fangas kichwa, unategemea mambo ya maana ya maendeleo watawaza lini? Tukio hili la wanyama kuvuka mpaka wa kenya kuja TZ linatokea kila mwaka... Viongozi ni wazembe, wavivu na mapunguwani, muda wote wanawaza ngono tu...
 
Back
Top Bottom