MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

hivi wewe huoni hata jina linajielezatu sumba Wanga
Licha ya kwamba ni mzawa wa huku haimaanishi natetea kuhusu uwepo wa uchawi,ninaamini upo kama ilivyo katika maeneo mengine nchi hii.
Ninachokikataa ni watu kurank sumbawanga km sehemu ambako uchawi ni tishio si kweli,unaweza kunieleza ni mkoa gani Tz ambako hakuna uchawi?
 
Reicarnation haina mahusiano ya kuonganisha nafsi na kitu kingine. Reicarnation maana ake ni kurudi kwa uhai(Rebirth) katika mwili mwingine.
Rebirth katika mwili mwingine au katika nafsi ingine ? Yaani kutoka ng'ombe hadi chui?
 
Buguruni si watu,buguruni si watu,binadamu mwenzao wamemgeuza chatu.
 
Hii itakuwa case study chakufanya ni ku run backgrounds check za huyo komba.. then tusimzike tumgandishe huenda anaweza akawa clone
 
huyo aling'atwa sumu ikiwa inamuingia taratibu.
Mwili wake ukifanyiwa autopsy au post-mortem mtuletee majibu hapa.

Mkuu,

Unamaanisha ni "coincidence" tu kwamba nyoka na mmiliki wake wamekufa pamoja!

Kaka ...
 
Iko hivi haya madude/madudu kuna watu huwa wanaishi nayo lakini kwa masharti
Wengine ni ya urithi
Wengine waliyapata kwenye ishu za kutafuta kinga dawa utajiri na kadhalika
Sharti mojawapo ni kwamba siku ukiona huwezi kulilea tena unalirudisha ulipolitoa au unapewa maelekezo ya kwenda kulitupa
Ukikiuka masharti likafa nawe unakufa, hicho ndio kilichomtokea Komba

Mkuu unaamini kuna watu wanaweza kuwapatia watu wengine utajiri nje ya kanuni za biashara kama vile mtaji,masoko na management? Kama watu kama hao wapo kwa nini Magufuli asiwachukue wamsaidie katika jitihada zake za kuwapatia watanzania wasio na kipato ajira? Hebu tuache mambo ya kucheza madange kiasi hicho.Hao watu "wagawa utajiri" mbona hawajakodishwa na Donald Trump ili akasaidiwe kuwaongezea Wa-America mapesa?
 
Mkuu Afrodenzi, ulozi upo mkuu. Taarifa ya polisi ni kwamba mwili wa mchizi uko vizuri tu.

Halafu jiulize, ndugu Komba (R.I.P) aliwasihi sana wananzengo wasimdhuru swaiba wake akitahadharisha wangemsababishia kifo hata yeye pia, hawakumsikiliza kweli akafariki bila kuguswa. Unafikiri hakuwa anajua anachokifanya?

Kilichomuua huyo jamaa ni shock(mshituko).Ni ile hofu kwamba Madhali Nyoka wake amepigwa hadi kufa ina maana hata yeye angekufa. Hii ni imani aliyojazwa na Mganga wake au na mababu zake au ndugu zake.Hakuna kitu kinaua watu tena bila kuchelewesha kama hofu.Fear is a big depriver of our Lives.Kwa hiyo huyo Komba ameuawa na hofu tu.
 
Kwa macho na masikio yango niliona na kusikia tukio hilo likiendelea.Nyoka huyo alipigwa na mwenye nyoka alisihii sana asipigwe na baada ya nyoka huyo kufa jamaa alizitokwa na povu mdomo na kufa.lakini cha ajabu zaidi ilipofika mida ya saa kumi na moja jioni kaka wa marehemu alikuja kumtafuta njoka yule na kuuliza kama amekatwa kichwa,alipoambiwa hajakatea kichwa aliomba aonyeshwe huyo nyoka na ndio alipoonyeshwa then akasema kwao wamekataa kuweka msiba kwa sababu wanaamini ndugu yao hajafa na ndipo ndugu yule alipotoa kiroba kidogo dogo na kumchukua nyoka yule then akapanda pikipiki nakuondoka nae...Chaajabu zaidi ilipofika asubuhi inasemekana maiti ya kijana yule iliyolazwa monchwali ya Haspitali ya rufaa ya mkoa wa Ruvuma iliyopo songea(Homso)ilipotea na kutoweka monchwali hapo na hakuna anaejua wapi ilipo maiti hiyo.

C& P
 
Kwa macho na masikio yango niliona na kusikia tukio hilo likiendelea.Nyoka huyo alipigwa na mwenye nyoka alisihii sana asipigwe na baada ya nyoka huyo kufa jamaa alizitokwa na povu mdomo na kufa.lakini cha ajabu zaidi ilipofika mida ya saa kumi na moja jioni kaka wa marehemu alikuja kumtafuta njoka yule na kuuliza kama amekatwa kichwa,alipoambiwa hajakatea kichwa aliomba aonyeshwe huyo nyoka na ndio alipoonyeshwa then akasema kwao wamekataa kuweka msiba kwa sababu wanaamini ndugu yao hajafa na ndipo ndugu yule alipotoa kiroba kidogo dogo na kumchukua nyoka yule then akapanda pikipiki nakuondoka nae...Chaajabu zaidi ilipofika asubuhi inasemekana maiti ya kijana yule iliyolazwa monchwali ya Haspitali ya rufaa ya mkoa wa Ruvuma iliyopo songea(Homso)ilipotea na kutoweka monchwali hapo na hakuna anaejua wapi ilipo maiti hiyo.

C& P
labda wameenda kuifufua si wanaamin hajafa

hiyo familia wote ni wachawi tu
 
Kwa macho na masikio yango niliona na kusikia tukio hilo likiendelea.Nyoka huyo alipigwa na mwenye nyoka alisihii sana asipigwe na baada ya nyoka huyo kufa jamaa alizitokwa na povu mdomo na kufa.lakini cha ajabu zaidi ilipofika mida ya saa kumi na moja jioni kaka wa marehemu alikuja kumtafuta njoka yule na kuuliza kama amekatwa kichwa,alipoambiwa hajakatea kichwa aliomba aonyeshwe huyo nyoka na ndio alipoonyeshwa then akasema kwao wamekataa kuweka msiba kwa sababu wanaamini ndugu yao hajafa na ndipo ndugu yule alipotoa kiroba kidogo dogo na kumchukua nyoka yule then akapanda pikipiki nakuondoka nae...Chaajabu zaidi ilipofika asubuhi inasemekana maiti ya kijana yule iliyolazwa monchwali ya Haspitali ya rufaa ya mkoa wa Ruvuma iliyopo songea(Homso)ilipotea na kutoweka monchwali hapo na hakuna anaejua wapi ilipo maiti hiyo.

C& P
Tatizo ushirikina hauleti utajiri
 
Duh! Mambo mengine bhana, inahitaji ujasiri wa hali ya juu katika umiliki wa Nyoka na ushirikina.
 
Kilichomuua huyo jamaa ni shock(mshituko).Ni ile hofu kwamba Madhali Nyoka wake amepigwa hadi kufa ina maana hata yeye angekufa. Hii ni imani aliyojazwa na Mganga wake au na mababu zake au ndugu zake.Hakuna kitu kinaua watu tena bila kuchelewesha kama hofu.Fear is a big depriver of our Lives.Kwa hiyo huyo Komba ameuawa na hofu tu.

Sawa, inawezekana kwenye case hii mambo yalitokea kama unavyosema. Lakini pia witchcraft ipo na inawezekana imehusika hapo.

Mimi pia nimeshuhudia mambo hayo, siwezi tu kuandika mifano hapa kwa sababu masuala hayo siyajali sana najisikia uvivu hata kuandika
 
Makanisa na misikiti itumike kikamilifu kuwahubiria waumini wake na pia kukemea kuachana na Imani za kichawi na kishirikina kwani imani hizo zinaangamiza, zinakufanya uwe mtumwa wa kiakili, pia ni kikwazo cha maendeleo ya wananchi kwa ujumla wake.
Mbona huongelei mahekaru na masinagogi na jamatini? Hivi unjua kuwa wakazi wengi wa dunia hii hawaamini hizo dini unazoongelea sababu hawakukubali dini za kuletwa? Unadhani wa Japan, wahindi, washriranka, indigenous people of all continents except wengi wa waafrika hawana dini zao? Ukristo na uislam ni sehemu ya imani tu na siyo kwamba wengine siyo watu. Kuna nchi kama Myanmar, Nepal ukristo na uislam ni kama 1% na bado wana maisha bora kuliko yako wewe unayeabudu Mungu mmoja na mimi nikiwemo. Dini si kigezo, uelewa tu na kujudge Indoctrination mtu anayopewa na anavyokuwa brainwashed basi.
 
Back
Top Bottom