MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

huko ruvuma kuan vituko na yule mwingine aliyeamua kumuoa mama yake na mama akawa ameridhika kabisa kuolewa na mwanae wa kumzaa
 
Af mtu anakomaa hadi mishipa inamtoka eti hakuna Uchawi.. mkuje hapa mtoe maelezo ya kisayansi
Hata mie nimenyoosha mikono juu nilikuwa napinga sana vipi mdau nimesikia neno moja wanasema 'fedha za masharti' ni zipi hizo?
 
Mwanangu changamkia deal hilo wanatafuta mtaalam wa uchunguzi wa kifo cha bwana nyoka komba
 
huyo aling'atwa sumu ikiwa inamuingia taratibu.
Mwili wake ukifanyiwa autopsy au post-mortem mtuletee majibu hapa.

Mkuu Afrodenzi, ulozi upo mkuu. Taarifa ya polisi ni kwamba mwili wa mchizi uko vizuri tu.

Halafu jiulize, ndugu Komba (R.I.P) aliwasihi sana wananzengo wasimdhuru swaiba wake akitahadharisha wangemsababishia kifo hata yeye pia, hawakumsikiliza kweli akafariki bila kuguswa. Unafikiri hakuwa anajua anachokifanya?
 
Hakuna kitu kama uchawi labda huyo nyoka alishamgonga ndo maana akafa kwa sumu ya taratibu, pia ninavyowajua waendesha bodaboda lazima na yeye alikula mawe na marungu mawili matatu hivi, kama huyo jamaa mchawi si angeroga pesa ikahamia nyumbani kwake

unamaamini dini gani mkuu?
uchawi upo toka enzi na enzi, baada tu ya lucifer/shetani kuasi mbinginu, nguvu alizokuwa nazo ndio akazigeuzia huko.
kama yesu alijaribiwa, mwanadamu utashindwa nini kujaribiwa. ni imani yako tu ndio itayokuponya, maana imeandikwa atayeamini japo imani ndogo kama chembe ya haradani ataweza amisha milima.
 
Back
Top Bottom