MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

MAAJABU: Nyoka afa na mmiliki wake Songea

Makanisa na misikiti itumike kikamilifu kuwahubiria waumini wake na pia kukemea kuachana na Imani za kichawi na kishirikina kwani imani hizo zinaangamiza, zinakufanya uwe mtumwa wa kiakili, pia ni kikwazo cha maendeleo ya wananchi kwa ujumla wake.
 
Kama ni Songea hakuna cha kushangaza hapo, wasong wako fit kwa mambo hayo, hata ukitembea na mke wa mtu unaweza stukia panya anasepa na kitu yako.
 
Mtu unakufa Na nyoka si ndo ticket ya kuzimu hiyo
 
Faru John na Chatu Denis wametangulia mbele za haki kirahisi sana.
 
Songea, Kigoma, Sumbawanga.....hili ni jambo la kawaida sana kwao. Wengi wanaofanya hivi yaani kufuga nyaraka za serikali ni wale wanaotafuta utajiri kupitia nguvu za giza.
 
Mimi nahisi yule nyoka alikuwa na sumu kali na alishamgonga mwenyewe na labda alikuwa anajaribu kumgonga na dereva wa boda boda. Wangecheck mwili wa marehemu kama hauna sumu na aina ya nyokja.
 
Mimi nahisi yule nyoka alikuwa na sumu kali na alishamgonga mwenyewe na labda alikuwa anajaribu kumgonga na dereva wa boda boda. Wangecheck mwili wa marehemu kama hauna sumu na aina ya nyokja.
Shikamoo dada
 
Naogopa kukoment kwenye huu uzi maana jamaa kashageuka roho huyu
 
Songea, Kigoma, Sumbawanga.....hili ni jambo la kawaida sana kwao. Wengi wanaofanya hivi yaani kufuga nyaraka za serikali ni wale wanaotafuta utajiri kupitia nguvu za giza.
Muwe mnaandika vitu mkiwa na uhakika,unamewahi kusikia tukio gani la ajabu kuhusu uchawi Sumbawanga? watu wanatia chumvi mno kumbe uhalisia wake hata sio hivyo.
 
Muwe mnaandika vitu mkiwa na uhakika,unamewahi kusikia tukio gani la ajabu kuhusu uchawi Sumbawanga? watu wanatia chumvi mno kumbe uhalisia wake hata sio hivyo.
hivi wewe huoni hata jina linajielezatu sumba Wanga
 
Back
Top Bottom