Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Pumzika kwa amani Komba
We shindwa kabisa....songea ni jambo la kawaida
Ha ha ha!Haha masela wamepuuzia maneno ya marehemu na kumdedisha Nyoka John matokeo yake wamemdedisha na jamaa
maelezo yanaonyesha hajang'atwa na nyoka huu uchawi wke ni sawa na wale wenye hirizi zinapumua zikiacha kupumua na wao wanakufahuyo alishang'atwa na nyoka sumu ikawa inamuingia taratibu.
Pumzika kwa amani huko uliko.
Amen.
jini anakufaga kumbe?Huyo sio nyoka wa kawaida ni jini hilo
huyo aling'atwa sumu ikiwa inamuingia taratibu.maelezo yanaonyesha hajang'atwa na nyoka huu uchawi wke ni sawa na wale wenye hirizi zinapumua zikiacha kupumua na wao wanakufa
Hakuna kitu kama uchawi labda huyo nyoka alishamgonga ndo maana akafa kwa sumu ya taratibu, pia ninavyowajua waendesha bodaboda lazima na yeye alikula mawe na marungu mawili matatu hivi, kama huyo jamaa mchawi si angeroga pesa ikahamia nyumbani kwakeAf mtu anakomaa hadi mishipa inamtoka eti hakuna Uchawi.. mkuje hapa mtoe maelezo ya kisayansi
Kumbe na huyo nyoka anaitwa NYOKA JOHN?Haha masela wamepuuzia maneno ya marehemu na kumdedisha Nyoka John matokeo yake wamemdedisha na jamaa
Reicarnation haina mahusiano ya kuonganisha nafsi na kitu kingine. Reicarnation maana ake ni kurudi kwa uhai(Rebirth) katika mwili mwingine.souljah meditater said:Kwa hiyo marehemu aliiunganisha nafsi au roho yake na nyoka? aisee huo ni utaalam wa gizani mshana jr hivi hii nayo tunaiita reincarnation?