Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,752
Nipo sana kaka nitakuja na maelezo
Nipo sana kaka nitakuja na maelezo
Huyo muendesha boda boda amenichekesha sana. Eti aliona kitu kinamtekenya, kugeuka hivi, salalee akakutana na bichwa la nyoka! Akaruka akatupa piki piki hukoo! Weee chezea na dawa ya sumu ya nyoka kuuzwa laki saba na nusu!
Hili si la kisayansi hivyo watatoka kapaMh...! mambo mengine sijui yanawezaje kufanyiwa utafiti wa kisayansi ili kufahamu uhusiano uliopo kati ya kupigwa kwa nyoka na kuuwawa kwa mmiliki wa nyoka.
Soma vizuri hiyo habari. Mwili haujakutwa na jeraha lolote.huyo alishang'atwa na nyoka sumu ikawa inamuingia taratibu.
Pumzika kwa amani huko uliko.
Amen.
Hahahah Bitozi umeua aseeHaha masela wamepuuzia maneno ya marehemu na kumdedisha Nyoka John matokeo yake wamemdedisha na jamaa
mwili umeshafanyiwa autopsy au post-mortem ?Soma vizuri hiyo habari. Mwili haujakutwa na jeraha lolote.
Iko hivi haya madude/madudu kuna watu huwa wanaishi nayo lakini kwa mashartiKwa hiyo marehemu aliiunganisha nafsi au roho yake na nyoka? aisee huo ni utaalam wa gizani mshana jr hivi hii nayo tunaiita reincarnation?
Alisema nyoka aliyeuawa na wananchi amechukuliwa na idara ya maliasili na uchunguzi zaidi ya tukio hilo unaendelea ili kubaini kiini cha tukio hilo la kuuawa kwa nyoka na kisha mmiliki wake naye kufa
Nakwambia ndugu yangu hawa wametisha, kaunganisha uhai wake na nyoka?Afu watu kila siku kubwabwaja tu ooh sumbawanga kuna uchawi,oneni mambo ya wangoni huko dadeki wanatisha balaa
Haya hapa chini yamesemwa na wataalam wa serikaliSerikali hawaamini UCHAWI.
kuna jiwe la nyoka linanyonya sumu yooote ya Nyoka yapo sana Ugweno na kule kusini halizid 5000Huyo muendesha boda boda amenichekesha sana. Eti aliona kitu kinamtekenya, kugeuka hivi, salalee akakutana na bichwa la nyoka! Akaruka akatupa piki piki hukoo! Weee chezea na dawa ya sumu ya nyoka kuuzwa laki saba na nusu!
Kuna uchawi gani sasa hapo?Af mtu anakomaa hadi mishipa inamtoka eti hakuna Uchawi.. mkuje hapa mtoe maelezo ya kisayansi