zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Jamani nimepanda hice za kwenda Msata kongowe,Lakini kwa Macho yangu ya Ndani Naona Nusu ya Gari Wana vichwa vya Ng'ombe,Viwili vyao ni vya binadamu.
Kama huna ujasiri unaweza kimbia.
Wabongo hawafai.
Kama huna ujasiri unaweza kimbia.
Wabongo hawafai.