Maajabu: Manispaa Kigoma yakaimisha 'DMO' darasa la saba

Haya ni Majungu tujiepushe na majungu, kwani hapa ninavyokupinga ni kuwa Dr. Nsanya amesharudishwa kazini baada ya serikali kujiridhisha kuwa tuhuma iliyokuwa ikimkabili kuwa alighushi cheti cha kidato cha nne si za kweli na yupo kazini alisharipoti. Kuhusu hao wengine taarifa walizotoa ni kuwa wao ni la saba na nchi hii ilishawahi kuajiri darasa la saba na hadi leo wapo kwenye system za serikali. Kwa makala hii imeonesha wazi kuwa wewe ulinunua cheti cha kidato cha nne(4) na inaonesha wazi umeshatumbuliwa hapo ulipo na hao unawaonea wivu bado wapo kazini, pole sana kwa wizi wa kuiba cheti na nakushauri uache wivu nafasi ya kurisiti ipo wazi kwako.
Subiri muda utakwambia...taarifa zipo za uhakika kwamba hata katika mfumo wa taarifa za utumishi za awali hawa waliorodheshwa kuwa na elimu ya kidato cha NNE..WEWE kaa Tegeta Kibaoni..ya Nsnya mwachie mwenyewe! sasa kama huyo muuguzi ni DARASA LA SABA..IMEKUWAJE ALISOMA St John Universite shahada ya Uuguzi tena akilipiwa na Manispaa kati ya Mwaka 2012-2015...tulia dawa iingie au Watetee kijinga jinga..hapa hakuna majungu.shauri yako kaa na ujinga wako..na hao wenzao wanaowafichia taarifa hizi jua kwamba linawahusu pia..NI SUALA LA MUDA TU@SUBIRI TU UTAONA
 
Muda unahesabika..huwezi kuwa na mameneja wa Afya DARASA LA SABA HALAFU WAKAONGOZA WENYE DEGREE..Ujinga huu utakuwa hapo kwenu tu!
Tulia baada ya muda utaona hali halisi..sasa taarifa zao tumezituma wizara inayohusika...ni suala la muda tu!...KWA HIYO WAACHE WAENDELEE NA UFISADI WAO MANISPAA LAKINI UTASHANGAA MUDA UTAFIKA KIMAAJABU NA KILA ALIYEHUSIKA KUFICHA NYARAKA,KUWASAIDIA KUFICHA VYETI VYAO..KUFUTA TAARIFA ZAO ZA AWALI KATIKA MFUMO.(KAZI YA CHMT HII) NA KUWAHAKIKISHIA USALAMA(KIKAO CHA SIRI CHA WIKI ILIYOPITA CHA CHMT NA MMOJA WA MAAFISA UTUMISHI ALIYEHUSIKA NA HILI...) JUENI SERIKALI INAJUA KILA NYENDO ZENU NA MUDA UTAFIKA TU...ENDELEENI SANA KUWATETEA HAWA FORM FOUR FEKI NA HUYU ALIYEMALIZA CHUO KIKUU ST.JOHN HUKU AKIWA DARASA LA SABA...HAKIKISHENI NA TAARIFA HIZI MUNAFICHA TU...ILA MUDA UTAWAUMBUA!
 
Manispaa ya Kigoma Ujiji imemkaimisha Mganga mkuu wa manispaa mwenye elimu ya darasa la saba..Filimbi ya haki inaweza kuripoti
Mganga mkuu huyo Abigael Mika KASUMANI hana cheti cha form four,alianza kama mfagizi wa ofisi kisha akanunua cheti cha form four na kujiendeleza kimagumashi na kujipachika cheo cha AMO.

Lakini wakati wa ukaguzi wa vyeti vya form four yeye na Muuguzi mkuu wa manispaa(ARK) walijifungia katika chumba na kuchukua mafaili yao na kunyofoa vyeti vya form four(vilivyokuwa feki) na kuacha vya darasa la saba

Hata hivyo uhakiki uliwapita salama na kwa kutumia ushawishi wao wanawake hawa majabali wawili waliwahonga waheshimiwa flani wawili na kufanikiwa kumshawishi Diwani mmoja mpenda rushwa kuwapigia chapuo na kuhakikisha Kasumani anabaki kukaimu nafasi ya mganga mkuu baada ya aliyekuwepo Peter NSANYA naye kutumbuliwa na kuondolewa utumishi wa Umma kwa kughushi

Katika hali ya ajabu sana Abigael karudi kukaimu na sasa inadaiwa yeye na muuguzi mkuu huyu darasa la saba wanatumia nafasi husika kuwakomoa wabaya wao,kuhamisha wafanyakazi wanaojifanya 'wajuaji' na kuingilia mafaili ya watumishi wengine kuhakikisha hawapewi nafasi hiyo ikibidi kwa kutumia 'ushirikina' na mambo mengineyo..

Sisi wafanyakazi tulioondolewa katika utumishi wa umma kwa kukutwa na vyeti visivyo halali TUNASHANGAA SANA KWA SABABU TULINUNUA VYETI WOTE NA ABIGAEL HANA CHETI CHA FORM FOUR..ANAKUWAJE KAIMU MGANGA MKUU?

WIKI IJAYO TUTAELEZA NAMNA ALIVYOFANYA UFISADI KATIKA MANUNUZI YA IDARA KATIKA MWAKA WA FEDHA ULIOPITA NA NAKALA YA NYARAKA HUSIKA ILI UMMA UJUE NAMNA SINTOFAHAMU MANISPAA NA JINSI MKURUGENZI JJ MBOYA ALIVYOZUNGUKWA NA MAFISI..
Acha majungu wewe,PAMBANA NA HALI YAKO TU,kuwaharibia wenzako hakutasaidia wewe kurudi kazini

ploudly ngosha
 
Angalia kwenye uhakiki wa watumishi wa Umma kama utamuona mwenye jina hilo hapo manispaa ya Kigoma...na mwenzake pia Muuguz mkuu a.k.a mama la mama..ukiwaona nakutumia sasa hivi 100000 kwenye mpesa yako
Ama utamuona ama kama hutamuona aisee hukuonewa kaka/Dada kama kiswahili chenyewe hujui, ungewezaje kumtibu mgonjwa wa STATUS ASTHMATICUS? Huu ni uongo kama hawa watu ni darasa LA 7 vipi utendaji Wao? Na je unaamaanisha uhakiki ulikuwa magumashi?
 
Kama alijendeleza hadi AMO shida iko wapi ... Angefoji hiko cheti cha AMO sawa ... Utamwitaje lasaba wakati akihudhuria mafunzo ya diploma udactari na akafaulu ...
 
Kama alijendeleza hadi AMO shida iko wapi ... Angefoji hiko cheti cha AMO sawa ... Utamwitaje lasaba wakati akihudhuria mafunzo ya diploma udactari na akafaulu ...
Haruhusiwi kwenda chuo cha AMO kama huna cheti cha FORM FOUR...MUULIZE YEYOTE..NDIO MAANA UNAONA HAWA WATETEZI WAO WAJINGA WAJINGA WAMESHATULIA! KAZI INAENDELEA..NA WIZI MKUBWA WALIOFANYA KATIKA MANUNUZI YA IDARA YA AFYA 2016/2017 ILIYOISHA NAYO INAFANYIWA KAZI.SUBIRI UTAJUA SERIKALI ILIVYO NA MKONO MREFU!
 
Ama utamuona ama kama hutamuona aisee hukuonewa kaka/Dada kama kiswahili chenyewe hujui, ungewezaje kumtibu mgonjwa wa STATUS ASTHMATICUS? Huu ni uongo kama hawa watu ni darasa LA 7 vipi utendaji Wao? Na je unaamaanisha uhakiki ulikuwa magumashi?
We nae kama umechanganyikiwa vile..HAWA WALINYOFOA VYETI VYAO KUTOKA KATIKA MAFAILI YA WATUMISHI WA UMMA(HILI NI KOSA LA JINAI PIA) WAKATI WA ZOEZI.NDIO MAANA AFISA UTUMISHI YEYOTE MANISPAA ANAJUA HAWA NI FORM FOUR NA MISHAHARA YAO HAIKUWA KATIKA CATEGORY YA DARASA LA SABA...SIJUI KAMA UNAELEWA WEWE HII ISSUE AU UNATAKA MAELEZO YA ZIADA? ELEWA HAWA WATUMISHI WAWILI NI WAHALIFU..MMOJA WAO ALISHATUMIA CHETI HICHO HICHO KUSOMEA CHUO KIKUU CHA ST.JOHNS NA AKATUMIA ADA ZILIZOLIPWA NA MANISPAA.USHAHIDI WA NYARAKA ZA MALIPO UPO MANISPAA KWENYEWE...SASA HUELEWI NINI? YANI LEO ANAKUWAJE DARASA LA SABA? BASI ANASTAHIKI KUSHTAKIWA KWA WIZI WA PESA ZA MANISPAA ALIZOLIPIA ADA NA PIA KUSHTAKIWA KWA KUTOKUWEPO KAZINI KWA MIAKA MITATU!!!
 
Haruhusiwi kwenda chuo cha AMO kama huna cheti cha FORM FOUR...MUULIZE YEYOTE..NDIO MAANA UNAONA HAWA WATETEZI WAO WAJINGA WAJINGA WAMESHATULIA! KAZI INAENDELEA..NA WIZI MKUBWA WALIOFANYA KATIKA MANUNUZI YA IDARA YA AFYA 2016/2017 ILIYOISHA NAYO INAFANYIWA KAZI.SUBIRI UTAJUA SERIKALI ILIVYO NA MKONO MREFU!
Kwanza tufahamishe AMO ndio nini?Halafu huyo wa form four inatakiwa awe na sifa zipi,ili kusomea AMO?
 
Huyu aliwahi kukaimu nafasi hiyo wakati flani ambapo mganga mkuu alikuwa Maginga(naye aliacha kazi) kisha kabla hajaidhinishwa na Tamisemi wakati ule akawa ameshachukua pesa kama posho ya kukaimu..kwa kweli Kigoma manispaa kama haina wenyewe vile..ni makundi ya wezi tu.Nashukuru Mh Wazir Mkuu alipokuja mwaka 2015 december aligundua magumashi ya mkurugenzi aliyekuwepo mzee nyambe na akamuondoa,,hajarudi mpaka leo..jamani Manispaa inatakiwa iangaliwe jicho pana la sivyo ni kichaka cha fisi!
Wakupe dela tu, siyo kwa umbeya huu!!

ACHA nikae KIMYA...!
 
Tulia baada ya muda utaona hali halisi..sasa taarifa zao tumezituma wizara inayohusika...ni suala la muda tu!...KWA HIYO WAACHE WAENDELEE NA UFISADI WAO MANISPAA LAKINI UTASHANGAA MUDA UTAFIKA KIMAAJABU NA KILA ALIYEHUSIKA KUFICHA NYARAKA,KUWASAIDIA KUFICHA VYETI VYAO..KUFUTA TAARIFA ZAO ZA AWALI KATIKA MFUMO.(KAZI YA CHMT HII) NA KUWAHAKIKISHIA USALAMA(KIKAO CHA SIRI CHA WIKI ILIYOPITA CHA CHMT NA MMOJA WA MAAFISA UTUMISHI ALIYEHUSIKA NA HILI...) JUENI SERIKALI INAJUA KILA NYENDO ZENU NA MUDA UTAFIKA TU...ENDELEENI SANA KUWATETEA HAWA FORM FOUR FEKI NA HUYU ALIYEMALIZA CHUO KIKUU ST.JOHN HUKU AKIWA DARASA LA SABA...HAKIKISHENI NA TAARIFA HIZI MUNAFICHA TU...ILA MUDA UTAWAUMBUA!
Sasa Mimi sikuelewi!!? Tatizo ni nini? Kama umeachishwa Kazi kwa vyeti feki ni wewe na tafuta shughuli nyingine unafiki, roho mbaya, wivu na unafiki havitakusaidia. Kwani hao wakifukizwa Kazi wewe utarudishwa kazini?! Mwenzako ana degreee toka St. John wewe bado unamwita darasa LA saba!!! Why? Kama wametumia ujanja na tayari wameejiendeleza ni DMO na DNO unataka nini?! Acha roho mbaya Mungu atakushughulikia.
We nae kama umechanganyikiwa vile..HAWA WALINYOFOA VYETI VYAO KUTOKA KATIKA MAFAILI YA WATUMISHI WA UMMA(HILI NI KOSA LA JINAI PIA) WAKATI WA ZOEZI.NDIO MAANA AFISA UTUMISHI YEYOTE MANISPAA ANAJUA HAWA NI FORM FOUR NA MISHAHARA YAO HAIKUWA KATIKA CATEGORY YA DARASA LA SABA...SIJUI KAMA UNAELEWA WEWE HII ISSUE AU UNATAKA MAELEZO YA ZIADA? ELEWA HAWA WATUMISHI WAWILI NI WAHALIFU..MMOJA WAO ALISHATUMIA CHETI HICHO HICHO KUSOMEA CHUO KIKUU CHA ST.JOHNS NA AKATUMIA ADA ZILIZOLIPWA NA MANISPAA.USHAHIDI WA NYARAKA ZA MALIPO UPO MANISPAA KWENYEWE...SASA HUELEWI NINI? YANI LEO ANAKUWAJE DARASA LA SABA? BASI ANASTAHIKI KUSHTAKIWA KWA WIZI WA PESA ZA MANISPAA ALIZOLIPIA ADA NA PIA KUSHTAKIWA KWA KUTOKUWEPO KAZINI KWA MIAKA MITATU!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Mimi sikuelewi!!? Tatizo ni nini? Kama umeachishwa Kazi kwa vyeti feki ni wewe na tafuta shughuli nyingine unafiki, roho mbaya, wivu na unafiki havitakusaidia. Kwani hao wakifukizwa Kazi wewe utarudishwa kazini?! Mwenzako ana degreee toka St. John wewe bado unamwita darasa LA saba!!! Why? Kama wametumia ujanja na tayari wameejiendeleza ni DMO na DNO unataka nini?! Acha roho mbaya Mungu atakushughulikia.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huezi elewa kama UNA AKILI YA DARASA LA SABA KAMA WENZAKO HAWA..Tatizo wanaaibia nchi..mimi sijaachishwa kazi..Mimi nimejiajiri ila nawazungumzia hawa waliofikisha taarifa kwetu...wewe baki na darasa la saba wenzako..tena ukizidi kuwatetea NITAKUCHEFUA kwa uovu wao ili ustaajabu zaidi..HIVI HUJAONA WALE WATETEZI WAO WA AWALI WOTE WAMETULIA KWA SABABU WAMEONA PICHA INAVYOSHIKA UTAMU? Wewe Mekuoko JIESHIMU..HAWA NI WAHALIFU WALIOIBA KODI ZA WALALAHOI NA PESA ZA SERIKALI AMBAZO MIMI NA WEWE TUNALIPA KODI(LABDA KAMA WEWE NI MIONGONI MWAO ENDELEA BASI NA HUU UJINGA)...TULIA DAWA IINGIE!
 
Huezi elewa kama UNA AKILI YA DARASA LA SABA KAMA WENZAKO HAWA..Tatizo wanaaibia nchi..mimi sijaachishwa kazi..Mimi nimejiajiri ila nawazungumzia hawa waliofikisha taarifa kwetu...wewe baki na darasa la saba wenzako..tena ukizidi kuwatetea NITAKUCHEFUA kwa uovu wao ili ustaajabu zaidi..HIVI HUJAONA WALE WATETEZI WAO WA AWALI WOTE WAMETULIA KWA SABABU WAMEONA PICHA INAVYOSHIKA UTAMU? Wewe Mekuoko JIESHIMU..HAWA NI WAHALIFU WALIOIBA KODI ZA WALALAHOI NA PESA ZA SERIKALI AMBAZO MIMI NA WEWE TUNALIPA KODI(LABDA KAMA WEWE NI MIONGONI MWAO ENDELEA BASI NA HUU UJINGA)...TULIA DAWA IINGIE!
Tena we Mekuoko una miaka 3 kabla hujafikisha umri wa kustaafu.acha taasisi ziendelee na kazi..we tulia utaona kwanini taasisi ya Filimbi HAKI inafanya kazi kusafisha watu waovu na wezi katika sekta mbalimbali.HUU NI MWANZO TU...SERIKALI YA NCHI HII INA MKONO MREFU SANA.WE SUBIRI MATOKEO TU YA HABARI HII..YATAKUJA MUDA AMBAO WEWE NA DARASA LA SABA WENZAKO UNAOWATETEA MTAKUWA MMESHAJISAHAU KABISA..SAWA EEH? NENDA KALE MALIMAO!
 
Huezi elewa kama UNA AKILI YA DARASA LA SABA KAMA WENZAKO HAWA..Tatizo wanaaibia nchi..mimi sijaachishwa kazi..Mimi nimejiajiri ila nawazungumzia hawa waliofikisha taarifa kwetu...wewe baki na darasa la saba wenzako..tena ukizidi kuwatetea NITAKUCHEFUA kwa uovu wao ili ustaajabu zaidi..HIVI HUJAONA WALE WATETEZI WAO WA AWALI WOTE WAMETULIA KWA SABABU WAMEONA PICHA INAVYOSHIKA UTAMU? Wewe Mekuoko JIESHIMU..HAWA NI WAHALIFU WALIOIBA KODI ZA WALALAHOI NA PESA ZA SERIKALI AMBAZO MIMI NA WEWE TUNALIPA KODI(LABDA KAMA WEWE NI MIONGONI MWAO ENDELEA BASI NA HUU UJINGA)...TULIA DAWA IINGIE!
Mimi nakuhurumia sana! Nadhani uzwazwa unakusumbua!? Wewe huna chochote kwa sababu hata uwezo wako wa kuelewa ni Mdogo mno. Hao unaosema LA saba wamejiendeleza wamefika huko walikofika. Sasa wewe unaumwa nini? Uhakiki upo na utaendelea kila siku kila mwezi kila mwaka. Kama wamefoji si watapatikaba? Kuna OPRAS kila 6months, kuna chmt, kuna chmt na usalama wa taifa , kuna vyombo vyote Vya kushughulikia hayo!!!! Wewe ni nani kama si roho ya fisi tu!!!? Wewe ulie tu hatoki MTU na kazini kurudi wala hakuna byebye. Kafie mbele. Utatembea kwa mguu mpaka kufa kwa ajili tu ya roho mbaya. Mfa Maji haachi kitapatapa. Huna chochote usingeshughulika na umbea wa kike. Ungekuwa mchawi ungeua MTU. Sasa huna umebaki domo kaya. Nyokooooo!!!! Abigaeli, abigaeli!!! Naenda akuoe upate mtoto naona huna hata mtoto. Roho mbaya wahed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakuhurumia sana! Nadhani uzwazwa unakusumbua!? Wewe huna chochote kwa sababu hata uwezo wako wa kuelewa ni Mdogo mno. Hao unaosema LA saba wamejiendeleza wamefika huko walikofika. Sasa wewe unaumwa nini? Uhakiki upo na utaendelea kila siku kila mwezi kila mwaka. Kama wamefoji si watapatikaba? Kuna OPRAS kila 6months, kuna chmt, kuna chmt na usalama wa taifa , kuna vyombo vyote Vya kushughulikia hayo!!!! Wewe ni nani kama si roho ya fisi tu!!!? Wewe ulie tu hatoki MTU na kazini kurudi wala hakuna byebye. Kafie mbele. Utatembea kwa mguu mpaka kufa kwa ajili tu ya roho mbaya. Mfa Maji haachi kitapatapa. Huna chochote usingeshughulika na umbea wa kike. Ungekuwa mchawi ungeua MTU. Sasa huna umebaki domo kaya. Nyokooooo!!!! Abigaeli, abigaeli!!! Naenda akuoe upate mtoto naona huna hata mtoto. Roho mbaya wahed.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha umechanganyikiwa na unaonekana wazi unahitaji matibabu ya haraka ya akili..unatukana huku una miaka 57! ha ha ha we kweli punguani.LALA MAMA(TENA BIBI KABISA KIUMRI).KAZI HII TUACHIE..TUMEANZA NAYO NA TUNAENDELEA NAYO.SUBIRI UTAONA TU!..Kutembea kwa mguu walitembea mpaka waliokuzaa na wewe leo unazeeka ila HUNA BUSARA! Kufa hata wewe utakufa tu hakuna anyaeondoka duniani kupitia kibirizi au Katonga mwaloni..we hofu yako nini? [HASHTAG]#TULIA[/HASHTAG] DAWA IINGIE VIZURI# Au we naye huna cheti nini mama? tulia dawa ikupate! Hii inaitwa Ngoma ya Kiha..huiwezi wewe na wenzako waliokutuma wote mmefeli..UJANJA WENU WA KUIIBIA SERIKALI UMESHAJULIKANA!
 
Back
Top Bottom