Filimbi Haki
Member
- Jul 22, 2017
- 34
- 15
- Thread starter
- #101
Eti Kuna CHMT na OPRAS? Sasa unadhani sisi hatujui ufisadi wenu..ungejua jinsi mlivyojulikana kuwafichia na jinsi mnavyohaha sasa hivi..wala hakuna mwenye roho mbaya kama yako ya kuwafichia uovu hao mashosti zako wa darasa la saba..[HASHTAG]#TULIA[/HASHTAG] DAWA IINGIE# HAKI HAIJAWAHI KUNYAMAZISHWA NA MATUSI YA NGUONI HATA SIKU MOJA..WE TUKANA SANA MATUSI YOTE ILA MWISHO NAWE DAWA ITAKUPATA...MAANA NI MIONGONI MWA WANAOTUMIWA NA HAWA KUFICHA UOVU HUU TULIOUFICHUA..TENA NAKUSHAURI UNYAMAZE LA SIVYO NITAYAWEKA HADHARANI MADUDU MENGINE YALIYO HAPO MANISPAA HASA IDARA YA AFYA AMBAYO WEWE NI MIONGONI MWA WATUMISHI WAKE NA MTUMWA WA KUFICHA UFEDHULI HUU..AU UNABISHA??Mimi nakuhurumia sana! Nadhani uzwazwa unakusumbua!? Wewe huna chochote kwa sababu hata uwezo wako wa kuelewa ni Mdogo mno. Hao unaosema LA saba wamejiendeleza wamefika huko walikofika. Sasa wewe unaumwa nini? Uhakiki upo na utaendelea kila siku kila mwezi kila mwaka. Kama wamefoji si watapatikaba? Kuna OPRAS kila 6months, kuna chmt, kuna chmt na usalama wa taifa , kuna vyombo vyote Vya kushughulikia hayo!!!! Wewe ni nani kama si roho ya fisi tu!!!? Wewe ulie tu hatoki MTU na kazini kurudi wala hakuna byebye. Kafie mbele. Utatembea kwa mguu mpaka kufa kwa ajili tu ya roho mbaya. Mfa Maji haachi kitapatapa. Huna chochote usingeshughulika na umbea wa kike. Ungekuwa mchawi ungeua MTU. Sasa huna umebaki domo kaya. Nyokooooo!!!! Abigaeli, abigaeli!!! Naenda akuoe upate mtoto naona huna hata mtoto. Roho mbaya wahed.
Sent using Jamii Forums mobile app