Abby Ability
New Member
- May 18, 2019
- 2
- 0
Naomba kujua tafadhari hawa Maafisa Uhamiaji huwa wanasoma course gani? Vyuo pia ni vipi? Pamoja na vigezo vyao.๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Jiunge na jeshi lao, mle ndio utajua wanajifunxa niniNaomba kujua Tafadhari hawa maafisa uhamiaji huwa wanasoma course gani?, vyuo pia ni vipi? Na vigezo๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Hiko chuo kipo chini ya nacte au tcuZamani walikua hawana chuo rasmi walikua wanafanya kozi zao chuo cha polisi CCP kwa sasa chuo kipo huko wilaya ya mkinga Tanga.
Kuhusu wanasoma kozi gani ni kozi zinazoendana na majukumu ya kazi zao na zinatolewa kwenye chuo Chao tu.
Hakipo chini ya Nacte wala Tcu hiyo ni ajira ukienda kwenye hicho chuo maana yake umeshaajiriwaHiko chuo kipo chini ya nacte au tcu