Aisee leo nimetoka zangu ng'ambo tukafika kwenye Passport check nimekaa kwenye foleni ya Tanzania Citizens kama dak 20 jamaa wa uhamiaji alikua anamhudumia mdada alokua mbele yangu halafu hamalizi.
Kumbe muda wote jamaa linang'ang'aniza dem alipe namba linamchelewesha makusudi.
Mwishowe yule...
Maofisa Uhamiaji mkoa wa Pwani wamewakamata raia wawili wa Afrika Magharibi wakiwa na karatasi za kuchapisha pesa bandia, kemikali na kasiki (safe) la kutunzia fedha.
Watu hao wamekutwa pia na hati za kusafiria 34 za nchi za Nigeria na Ghana. Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Mwenyekiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.