Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 71
tuchague viongozi safi,waadilifu na wenye mvuto kwa jamii.wazalendo na wachapa kazi.
Hi picha ya sio ya leo! Pili umati huu huwa unafuata vitu viwili. Moja ni wasanii wanaoletwa na ccm ktk
mikutano na mikusanyiko yao. Pili wanafuata chakula/hela ambazo zinatolewa
ilihali wananchi wanakosa huduma za muhimu kama afya elimu etc. Mtalaaniwa wooote mnaohusika na upuuzi huu.
Hawa watu lazima wamesombwa na malori
Mwenyekiti wa chama mkoa ametoa tamko kuwa baada ya sherehe hizo kutakuwa na chakula kinachowatosha watu wote waliopo uwanjani...hii ni ajabu na kweli wakuu.
Mimi ni CCM damu, ila siunge mkono wehu wengi walioko madarakani, wangekua poa tusingepoteza majob=mbo mengi, inaonyesha jinsi ubinafsi na uchovu uliopo. Nataka kusema nini, Uwanjani naona waliokimbilia kwenye Jukwaa la Wasanii ni nyekundunyekundu fulani hivi sioni Kijani kama nilivyotarajia, mavazo ya kawaida ni mengi. Maana yake nini, waliokuwa wanapita na wasio na shughuli mjini wamesikia habari ya pilau na mziki mkubwa unaongurumishwa Kirumba lazima ukimbilie kuona kulikoni.... si unatujua watanzania hata Bomu tunalikimbilia. Natumaini kuna Ambulance na Redcross wakutosha uwanjani, maana raia wengi wasiowahi kuona matamasha watakuwa wameingia
Kwani neno 'Kumai' lina tatizo gani?Duh! Kama ni Rais tunae. Kasema neno hilo bila ya woga wowote na kajifanya eti alikua anapenda kulitumia Mzee Makamba.
Leo umelipwa shs ngap?unasubiria wali uwanjani?hili la sifa katika chama chetu la wananchi kununuliwa limevunja heshima ya chama chetu sana
ana shusha nondo za kufa mtu uwanja wote umezizima.......!!!