Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

natambua vuguvugu la upinzani kipindi hiki. kama tunataka tuendelee kuongoza basi tubadilike. tusigande yaani tuache mambo ya zamani. tuwe wanyumbufu. by kikwete
 
kule dodoma nilieleza haja ya kufanya mabadiliko ndani ya chama ili kukipa chama mvuto mpya kwa watanzania..............mimi nilimaanisha renewal
 
Hah hah hah hilo halina mjadala kuanguka lazima tatizo anategemea sana wanadamu kwenye maisha yake na anayemtegemea ameshaaga dunia naona anamwingine japo hajawa rasmi kama yahaya , leo labda wampe neno la mungu la sivyo mweleka uko pale pale.jamani mshaurini nape aache kujicream ushauri wa bure.

Nepu ni mambo ya kamerouni nini? Rizki
 
maana ya kujivugua gamba ulikuwa ni mfano nmetoa nikiwa na maana tuwe tunabadilika. lakini huko mtaani watu wanaongea vingine. by kikwete.
 
mtaji mkubwa wa ccm ni kuungwa mkono na watu,ridhaa ya wananchi.
 
lazima tuwe na sera nzuri,chama kiwe na uwezo wa kupambana na propaganda chafu.
 
nguvu kubwa imetumika ili kudanganya uma wa wadanganyika kwamba sisiemu ina kubalika, lakini ukweli utabaki palepale
watu hawana uwezo wa kununua jezi mpya za kijani, kujaza mafuta kwenye sikuta nakuzunguuka mza kuhamasisha.pesa tunazo ibiwa wavuja jasho ( wafanyakazi na wakulima) ndizo zinzo tuumiza. muhimu ni ukombozi wa fikra ili watu wajue watakula leo lakini wkishiwa tumbo la kuhara watakufa kwakuwa c 2 madaktari wamegomabali hakuna dawa kwenye hospt zetu na wenye pilau wamerudi dar. ndoho tabu ng'waguku.:embarassed2:
 
sasa ndio najua tatizo letu watanzania ni CCM, ebu fanyeni hesabu, chama kilizaliwa 5/2/1977 leo tare 5/2/2012 ni miaka mingapi? mimi kwa kesabu zangu hii ni miaka 34! sasa wenzetuuu hiiii 35 yatoka wapi????

Acha kuwa na akili fupi wewe!!CRAAAAP...
 
tukishindwa propaganda au kulegalega kwenye propaganda jua chama kitatushinda. by kikwete.
 
chama kiliazimia mambo 23 lakini wenzetu wameshikilia moja tu la kujivua gamba
 
mojawapo lilikuwa ni wajumbe wa NEC kuchaguliwa kutoka walayani badala ya mkoani
 
Pamoja na ukata mkali lakini bado kuna "nyomi" CCM .Hapa kweli Dr. Bana anasema magamba hawana mbadala.

download+(40).jpg




download+(41).jpg
Hapo lazima tufikirie :Je gharama inayotumika leo kukodi malori kusomba watu kutoka huku na kule,kuwaleta hapa ccm kirumba,kwa nini zisingepelekwa kuwalipa madaktari?????
 
Niko hapa mwanza ndani ya daladala kuelekea buswelu.Njiani ni msululu wa malori yamejaza watu.jua ni kali mno na inaonekana hawa watu wanatokea mawilayani.Hii hali ya kulundika watu kwenye malori mchana na jua kali ni udhalilishaji wa binadamu.mbaya zaidi waliobebwa wanaonekana wamechoka sana na hawana raha kabisa yaani kama wamelazimishwa vile
thibitisha kwa kutuonyesha picha,vinginevyo acha uongo wako
 
ana shusha nondo za kufa mtu uwanja wote umezizima.......!!!
 
wajumbe wa nec kutoka wilayani watasaidia kukijenga chama kwa kuwa wapo karibu na wanachama
 
Back
Top Bottom