Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

wilaya zote tumewapa landcruiser lakini naskia hamtembelei matawi.kazi yenu kulalamikia wengine tu.badilikeni.nguvu yetu ipo kwenye matawi.
 
Mkuu kuna post iliwekwa hapa.jana ikisema leo Wenje anarejea CCM, nasubiri kwa hamu sana hilo kuthibitishwa ama kukanushwa. Keep on updating the forum
 
sifa na taswira ya chama iliathiriwa na baadhi ya viongozi wenzetu kunyooshewa vidole kwa mambo mabaya,hivyo hawafai kwenye chama.wapime wajindoe,kama hawatajiondoa basi chama kiwaondoe
 
vikao vya chama ngazi zote wawatambue watu hawa.kuanzia kwenye tawi
 
Niko hapa mwanza ndani ya daladala kuelekea buswelu.Njiani ni msululu wa malori yamejaza watu.jua ni kali mno na inaonekana hawa watu wanatokea mawilayani.Hii hali ya kulundika watu kwenye malori mchana na jua kali ni udhalilishaji wa binadamu.mbaya zaidi waliobebwa wanaonekana wamechoka sana na hawana raha kabisa yaani kama wamelazimishwa vile
Hiari ya shinda utumwa, wamehiari waache waipate.
 
Huwa inashangaza sana hawa watu wanaoletwa na malori maana huwa ni kazi kuwatuliza ili wasikilize hotuba. Mara nyingi huwa wanafurahia kubebwa kwenye gari si unajua kijijini watu kubebwa kwenye gari ni bonge la previledge! Inabidi wawazuie kutoka maana mambo ya kutumbiza wasanii yakishaisha tu wanaanza kuhaha kutoka na kwenda zao. Ukiwauliza hata kilichoongelewa kwenye hotuba hawezi kusema chochote. Ccm mara nyingi huwa hawajui kama huwa wanahutubiana wenyewe tu kwenye jukwaa kuu maanA umati wa watu huku chini huwa wako bize na mambo yao tofauti kabisa na mikutano kama ya chadema ambapo kila mtu hutaka kusikia kinachoongelewa.

ngonini umenena ukweli kabisaaaaaaaa,
Ndivyo ilivyo,hata nyie mnaoshibikia sisiemu,muunge mkono kuwa mmechacha mnasubiriwa kutupwa.
 
wananchi wengi bado wana imani na ccm,wanapenda kuona tunajirekebisha na kuwa imara.chama kwanza mtu baadae-mkapa
 
Nitaweka kila kitu hapa, kama mmeshuhudia propaganda iliyosukwa kuhusu machinga najiuliza wamewalipa kiasigani! maana jana jioni mitaa ya makoroboi eneo lenye machinga wengi, waliikanyaga bendera ya ccm na kuifunika kwa sufuria wakaweka kibandiko kilichosema ccm ni walafi. Kazi ipo
 
kazi hii ya kukijenga chama iwe ni ya kila siku.sio kusubiri matukio.mwanachama akiwa mchafu tumuondoe
 
ana shusha nondo za kufa mtu uwanja wote umezizima.......!!!
Kama za DAVOS nini?manufactring of teachers,etc......me naangalia wanawake live,maana bora hata kwa kina mama naweza gain chochote
 
Gari haliwezi kuwa zuri kama dereva ni mbaya. Chama ni kizuri ila member ndio mikojo kunuka baadhi na walio wengi.
 
Duh! Kama ni Rais tunae. Kasema neno hilo bila ya woga wowote na kajifanya eti alikua anapenda kulitumia Mzee Makamba.
 
huu ni mwaka wa uchaguzi ndani ya chama na jumuiya zake.tuutumie uchaguzi huu kukijenga chama,tupate viongozi wazuri
 
Back
Top Bottom