Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 516
Ahutubie akiwa amekaa inaruhusiwa jamani. Hawa jamaa zake ndio wanamwangusha. wanajua jamaa hajapumzika tangu lini lakini wanam-over work. Waache ni mbaya. Wamwekee ratiba na wahakikishe inafuatwa. Obama mwenyewe anafuata ratiba. Wakiona amechoka wamkalishe bana. HATUTAKI AIBU KIMATAIFA