PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
exactly: mh. mkt siku hizi amekua baunsa??; nashangaa kuona kifua kimejaa si mchezo au ndo misosi imemukubali.Kama una sayantifiki mpe... baada ya hapo turudi kwenye mada.
exactly: mh. mkt siku hizi amekua baunsa??; nashangaa kuona kifua kimejaa si mchezo au ndo misosi imemukubali.Kama una sayantifiki mpe... baada ya hapo turudi kwenye mada.
Ukitaka kuamini mtaji wa magamba ni wajinga ona mitego wanayotumia kuuteka umati!Pamoja na ukata mkali lakini bado kuna "nyomi" CCM .Hapa kweli Dr. Bana anasema magamba hawana mbadala.
Maadhimisho ya CCM live Startv
Maadhimisho ya CCM live Startv
Wala hakuna haja ya kuomba kwani maisha ni magumu sana.Mi ninashangaa sana,naomba maisha yazidi kuwa magumu,
Tumsaidie kumwinua au?
Kwani wewe hujui kuwa somo la hisabati ni mkwe wa watanzania?sasa ndio najua tatizo letu watanzania ni CCM, ebu fanyeni hesabu, chama kilizaliwa 5/2/1977 leo tare 5/2/2012 ni miaka mingapi? mimi kwa kesabu zangu hii ni miaka 34! sasa wenzetuuu hiiii 35 yatoka wapi????
Mwenyekiti wa chama mkoa ametoa tamko kuwa baada ya sherehe hizo kutakuwa na chakula kinachowatosha watu wote waliopo uwanjani...hii ni ajabu na kweli wakuu.
Akizidiwa wampe huduma kama ya mwaka juzi kwenye kampeni:-