The Listener
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 993
- 217
connection katia ya ccm na madaktarimadaktari wanauhusiano upi na ccm?
1.tatizo kubwa la madaktari = mazingira bora ya kazi zikiwemo posho ambayo inadaiwa haiwezi kulipika
2.posho ya wabunge = kuboresha gharama za za maisha magumu huko dodoma (imeongezwa)
3.majadiliano ya posho = yamefanyika bungeni dodoma
4.bunge = limeundwa na vyama vya siasa (karibu theluthi mbili ni wa ccm)
kwa kifupi mahusiano ni: Posho 'iliyopitishwa' chini ya kivuli cha ccm na ile iliyokataliwa kwa madaktari. Nimetumia mfano rahisi ili ulione hili ambalo hata macho makavu alikuwa na kiu walau kulisikia mkuu akilitolea walau neno lau dogo tu kwani watz bado waumia mahospitalini lakini tumeambiwa tusubiri wakati ukifika atatuambia.