Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

wanawake wajitokeze katika nafasi mbalimbali,kuuondoa mfumo dume
 
wakuu badae kuna mchezo wa miguu kati ya wazee wa bongo movie na wale wa musiki wa dance. halafu baadae kuna show ya juma nature na nameless pale dar live baada ya hapo tutakua maisha club. eid mubarak. karibu tuinjoy.
 
Ameitaja ari mpya,nguvu mpya na kasi mpya....kujenga chama na kukomboa ilemela,nyamagana na ukerewe!!!
 
tuwaunge mkono wazee wa magwepande. tukachangie kiingilio uwanja wa taifa kuna mechi.
 
tujiandae kukomboa jimbo la ilemela na nyamagana na lile la ukerewe.kuteleza si kuanguka
 
Ameahidi kama kawaida yake...atawasaidia wamachinga kwa maombi yao....atakutana nao leo jioni...na kuhusu suala la madaktari atalisemea siku chache zijazo...
 
nipo uwanjani hapa watu wameanza kuondoka! hakuna chakula wala maji wa soda! watu wananjaa mpaka wanatoa machuzi! nami nilikuwa nifuata msoc lakn nimeambulia patupu! watu wanakimbilia kwenye mafuso, kumbuka fuso moja limebeba trip 5, ila linarudi trip 1, hawa wengne cjui itakuwaje watakaochelewa kupanda imekula kwao, lazma walale uwanjani leo.
 
Mh! Hii ya ccm kuvuna wanachama 1846 mwanza imekaaje wakuu! Walikuwa wapi?
 
1.Wanawake wajitokeze katika chaguzi ili wawafikie wanaume kiidadi
2. Kakubali pia kwamba wanachama wa vyama vya upinzani wamechangia kufanya mabadiliko ya sheria ya mabadiliko ya katiba (Eti amedai CCM wamepeleka mapendekezo 8 lakini hajasema wengine wamechangia mangapi!!!)
3.ANAWASIFIA WAMACHINGA KWA LENGO (KAMPENI) YA KUKOMBOA MAJIMBO WALIYOPOTEZA. AMEPANGA KUWA NA KIKAO NAO.
4. AMEKAA KIMYA KWA SUALA LA MADAKTARI (WATZ WANAENDELEA KUUMIA MAHOSPITALINI KIHUDUMA)
5.WANACHAMA WAPYA ELFU MOJA NA USHEI KWA UCHACHE
6.NEC HADI MASHINANI NA KUIMARISHA KITENGO CHA PROPAGANDA (WAMESHTUKA KUONA JAMAA WA VYAMA VINGINE WANAIMARIKA KILA KUKICHA) ....................
 
Back
Top Bottom