Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ndio najua tatizo letu watanzania ni CCM, ebu fanyeni hesabu, chama kilizaliwa 5/2/1977 leo tare 5/2/2012 ni miaka mingapi? mimi kwa kesabu zangu hii ni miaka 34! sasa wenzetuuu hiiii 35 yatoka wapi????
jamani mnakumbukumbu jamaa keshaanguka mara 2 kirumba,sasa leo jiandaeni tena
Pamoja na ukata mkali lakini bado kuna "nyomi" CCM .Hapa kweli Dr. Bana anasema magamba hawana mbadala.
rudia tena hesabu zako:
Mwambie huyo.
naona anaitaji msaada wa calculator
Leo hatoanguka, lakini atabinuka.
asianguke tena wakuu, huyu kaw sasa ni muhimu kwa katiba mpya, ameshajipanga na kuingia anag za CDM, tumpe sapoti hata akianguka.
Leo hataanguka bali ataelekea K.U.Z.I.M.U! na chama chake.
Amiri jeshi mkuu gani anaanguka hovyo hovyo.