Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

Pamoja na ukata mkali lakini bado kuna "nyomi" CCM .Hapa kweli Dr. Bana anasema magamba hawana mbadala.

download+(40).jpg




download+(41).jpg

Hi picha ya sio ya leo! Pili umati huu huwa unafuata vitu viwili. Moja ni wasanii wanaoletwa na ccm ktk mikutano na mikusanyiko yao. Pili wanafuata chakula/hela ambazo zinatolewa ilihali wananchi wanakosa huduma za muhimu kama afya elimu etc. Mtalaaniwa wooote mnaohusika na upuuzi huu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom