kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Kama kichwa cha habari hapo juu. Kwanza niwapongeze hapo maabara kwa kuweka namba za simu yaani customer care au kwa kizungu call center. Ili mwenye malalamiko au maswali apate Majibu.
Sasa basi hapa ndio kuna tatizo. Hawa watu wa kupokea simu kutuona sisi wateja kama wahalifu au tunapoteza muda.
Sisi ni wateja tuna haki ya kupiga simu na kuuliza chochote mradi hatuvunji sheria. Pia tuna haki ya kuomba na kusikilizwa. Maana utakuta mtu wa simu anakujibu AHIRISHA SAFARI. Mpaka mtu unajiuliza hivi huyu anafahamu mimi naenda wapi na naenda kufanya nini na je anafahamu madhara au hasara ya kuahitisha safari. Maana huwezi kusafiri bila kuwa na cheti cha Majibu ya covid.
Nawaomba tena muhusika wa hii idara awaeleimishe hawa wahusika wa kuongea na wateja.
Sasa basi hapa ndio kuna tatizo. Hawa watu wa kupokea simu kutuona sisi wateja kama wahalifu au tunapoteza muda.
Sisi ni wateja tuna haki ya kupiga simu na kuuliza chochote mradi hatuvunji sheria. Pia tuna haki ya kuomba na kusikilizwa. Maana utakuta mtu wa simu anakujibu AHIRISHA SAFARI. Mpaka mtu unajiuliza hivi huyu anafahamu mimi naenda wapi na naenda kufanya nini na je anafahamu madhara au hasara ya kuahitisha safari. Maana huwezi kusafiri bila kuwa na cheti cha Majibu ya covid.
Nawaomba tena muhusika wa hii idara awaeleimishe hawa wahusika wa kuongea na wateja.