Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Eish....hiyo bold mbona ni mtu mmoja?
Kulaaaleki, hili nimeliprinti nampelekea bibi yenu, leo chakula cha usiku ntapewa bila kubaka........
Oooh, Asprin thanks 4 the information
Eish....hiyo bold mbona ni mtu mmoja?
Kulaaaleki, hili nimeliprinti nampelekea bibi yenu, leo chakula cha usiku ntapewa bila kubaka........
Sizinga Sizinga hapa sasa hivi niko nyumbani...lolWacha vitisho...my wife wako ashakuzoea, kazi kusingizia foleni tu....!!
Tigger atajibeba aka atajicarry....lolTigger upooooo! lolz
Freema unazimia manguree na wewe ngoja nimwambie Afrodenzi aweke order ya kutoshawajua kitu manguree JF super star?
Leo ile bendi ya Klorokwin inapiga kutakuwa na ulanzi na manguree nitakupitia twende kiingilio 1500/=
Freema unazimia manguree na wewe ngoja nimwambie Afrodenzi aweke order ya kutosha
Hahahaha!!! Freema vipi tena banaaamanguree tena, thanks but no thank you hata kama ni kudumisha mila.
Haaa haaa haaa!Kwa kesi ya kumbaka nani?
Unanikubali kwenye nini? hebu niambie kwenye PM bana hapa wanga wengi!
The Finest, Afrodenzi, DenaAmsi, Ashadii, Desdii, Jasmin, CarolineDanzi, Lizzy, The Boss, Katavi, ... Nitarudi tena
Halafu Gaijin hebu cheki na wapopo hapa wanavyokimbiza huu wimbo aisee its a club banger
Naeto C - 10 over 10 - YouTube
Kwa kesi ya kumbaka nani?!
Ahahaaah!! Baaaabuu....! Usihofu hiyo siwezi kuidiliti, unadhani siogopi laana ya babu?Kulaaaleki! kutajwa na Premium member kama huyu Bwana, zambi zangu tano zimeshasamehewa. Hii posti naicopy na kuipesti sehemu asije akabadili mawazo akadiliti.
mambo yako hayo!! hahaaa...nletee kibuyu hata kimoja hapa.
The Finest, Afrodenzi, DenaAmsi, Ashadii, Desdii, Jasmin, CarolineDanzi, Lizzy, The Boss, Katavi, ... Nitarudi tena
Ahahaaah!! Baaaabuu....! Usihofu hiyo siwezi kuidiliti, unadhani siogopi laana ya babu?
Asante sana mwaya. Nje ya topic. Mbona umepotea sana
I'm saving water and having a beer ..
goodnight all you good people..
me love you lots ..