Ma-super star wa jf...!!

nilikua kifungoni hata nikichangia hapa nimeshachelewa..
 
shukrani rocky love u sana with all my soul and body
 
ulikuwa wapi? nimekumiss sana hizi siku mbili...bado kidogo ningekureplace!
nani sikutaki tena byeee mimi na manyaza sasa kijana anajua malavidavi sijui wa tanga
 
lol...siku hizi wanataka uhakika wa kutembea wamekaa aka kutembea kwa miguu minne!


Inaanza kwanza una kazi (uhakika wa kupata pesa kila siku)
Una gari (ana uhakika wa kuwaonyesha mashosti wake kuwa amepata Mume)
Una tembo card master card ( anajua akiba haipungui na hatakuwa na shida ya matumizi)
halafu hapo unaaambiwa umepata mke
hayo ya kuwa na nyumba sijui property unayajua wewe kutumia kwanza maisha baadae
 
nani sikutaki tena byeee mimi na manyaza sasa kijana anajua malavidavi sijui wa tanga
Yaani huyu huyu ninayemfahamu au mwingine? nenda...utarudi tu kunililia,,Mr. Rocky shahidi!
 
hii ndio kutembea umekaa!!! ukiwa na hii kitu ni 75% tayari ushawin! hata ki-vitz tu kinatosha!
 
Yaani huyu huyu ninayemfahamu au mwingine? nenda...utarudi tu kunililia,,Mr. Rocky shahidi!
wewe nakuona unatongoza tu hapa siku nzima huangalii huyu ni mama yangu ama vp .umeanza na mamndeny fb swilady faiza fox na nazjaz
sikutaki tena na sasa hv uko pm na mama tuli wewe vp jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…