Imembe
Member
- Nov 13, 2020
- 51
- 44
Habari wakuu.
Hivi nyie ma HR mnapenda sana rushwa kuliko kuangalia taaluma ya mtu, yaani mtu ana vigezo vyote lakini mnakosesha kazi kweli?
Juzi kati nilipata jamaa akanipa mchongo wa kazi, na kuniunganisha na HR lakini HR anakazania hela ya maji, namuuliza shilingi ngapi anataka laki mbili hivi kweli jamani?
Ma HR muwe na huruma mtaani pagumu.
Mi dereva jamani mwenye mchongo anicheki, maana mtaani kugumu.
Hivi nyie ma HR mnapenda sana rushwa kuliko kuangalia taaluma ya mtu, yaani mtu ana vigezo vyote lakini mnakosesha kazi kweli?
Juzi kati nilipata jamaa akanipa mchongo wa kazi, na kuniunganisha na HR lakini HR anakazania hela ya maji, namuuliza shilingi ngapi anataka laki mbili hivi kweli jamani?
Ma HR muwe na huruma mtaani pagumu.
Mi dereva jamani mwenye mchongo anicheki, maana mtaani kugumu.