Ma "file" ya zamani ya mwenza wako!

Ma "file" ya zamani ya mwenza wako!

Ally kamwe anatia huruma, ndoa sio matracle kila mtu anayo, alikurupuka.....

Ebu tupe file lako, alafu tuje na uchambuzi yakinifu
Yani nikupe file langu au?

Huwezi jua alionyweshwa Nini.
Labda ni usaliti ndio maana akashindwa kuvumilia
 
Kila mtu ana past yake,,, mi naangalia hapa na mbele huko nyuma naachia wapenzi watazamaji.
Siachi mtu kisa mambo ya nyuma
Mmeoana inaleak video baba chanja anakimbizana chumbani na wadada yupo mtupu.ama connection
Anyway yanasameheka.usaliti ndio kipengele
 
Hilo jambo linaweza kumkuta yeyote, awe kijana ama Mzee

Imezuka tabia miaka hii, hata Wazee wa umri mkubwa nao kupenda kuchukuana mapicha/video wawapo faragha

Mabinti na Vijana ndiyo wameshika kasi, wao hawawezi kulana hadi wategeshe simu zao ili kurekodi ufundi wao

Jambo la kuzingatia ni kuacha kudate na vijana/mabinti ama wazee wasiojielewa

Kuna mtu mahali, mfumo ungetamani kufanya kazi nae, lakini kutokana na maskendo ya mapicha picha ya uchi, unajikuta unatemwa

Kwa vijana wenye malengo, kabla hamjarekodi hizo nudes, tambueni Dunia sasa ni kijiji, rafiki yako unaye mwamini anaweza kuuza video zako kwa dau la chini ya dollar 100

Ama kwa hasira za kuachana naye, akavujisha bure kukukomoa
 
Mzee samehe Saba mara sabini😄
Inategemea
Baba is now Active.jpeg
 
Wengi mmeenda mbali zaidi---ila kwa mfano
Mwenzako ana picha zake za zamani kwenye drive yake---kwenye kuhamisha hamisha vikatuni vya watoto mara paap,,,hizi hapa---sio mbaya sana---lakini zinaonyesha ukaribu wake na watu kadhaa unaowafahamu--na wewe ulikuwa hauutambui huo ukaribu.
Kasheshe!
 
Yaliyopita kweli yamepita but huu Msemo haupo kamili asilimia Mia moja, inategemea na yamepita vipi, kuna situation hauna budi kufanya maamuzi hapo hapo...Bwana mdogo kuna vitu kakutana navyo kashindwa kuacha yapite, moyo ni nyama si chuma, kuna mambo siyo ya kufanya Sana siri...Some bitches belong to the streets.
 
Unaweza kuoa asiye na mafile mabaya halafu akaja kuyatengeneza hayo mafile mabaya akiwa ndani ya ndoa,

The truth is everyone is going to hurt you,
you just got to find the ones worth suffering for.
Ndipo nasema pale mnapoanza kuwa pamoja mnahesabu moja.forgeting your past huku mnafocus kwenye future.
Ila Yale yatayotokea tangu pale mlipoanza Moja ndio yatadetermine mchukue hatua gani

Kama ni past Kila mtu anayo yake.what matters most ni Yale yanayotokea mkiwa pamoja
 
Yaliyopita kweli yamepita but huu Msemo haupo kamili asilimia Mia moja, inategemea na yamepita vipi, kuna situation hauna budi kufanya maamuzi hapo hapo...Bwana mdogo kuna vitu kakutana navyo kashindwa kuacha yapite, moyo ni nyama si chuma, kuna mambo siyo ya kufanya Sana siri...Some bitches belong to the streets.
Nahisi ni usaliti ndio maana akashindwa kuvumilia
 
Wengi mmeenda mbali zaidi---ila kwa mfano
Mwenzako ana picha zake za zamani kwenye drive yake---kwenye kuhamisha hamisha vikatuni vya watoto mara paap,,,hizi hapa---sio mbaya sana---lakini zinaonyesha ukaribu wake na watu kadhaa unaowafahamu--na wewe ulikuwa hauutambui huo ukaribu.
Kasheshe!
Ndo Ile babako alikua sugar daddy wa mkeo akiwa chuo
Au mme alikua kibenten wa ma mkubwa wako
 
Back
Top Bottom