Ma "file" ya zamani ya mwenza wako!

Ma "file" ya zamani ya mwenza wako!

Ina maana msemaji hakuona red flag hata moja??? Au alikua akiongozwa na kichwa kingine?

Mfano tu siku ya kwanza ndo umeenda nae faragha, ukimuweka doggy mtoto anaenda, unajaribu popo kanyea sijui nini kaenda, styles zote unazomuweka anaenda vizureee hiyo ni red flag tosha.

Ila sasa ukisikiliza kichwa cha chini kitakwambia "" hapa ukioa utafaidi, si unaona pisi iko flexible styles zote inaenda""

Hapo unatakiwa ujiulize hizo styles kajifunzia wapi?? Na kina nani???
View attachment 3585192
Asipokuwa flexible bado kichwa hikohiko kitakwambia huyo ni gogo hautafaidi ndani.

Utasemaje?
 
Usioe urembo wake,wanawake wazuri wapo vijijini,hawajawahi kutumika na mitandao hawaijui.
Nenda basi.mbona umepost love connect unatafuta mke..
Si uende huko kijijini?

Huko kijijini kwenyewe ni moto
Historia ya mtu ni ya mtu haiangalii mazingira
 
Asipokuwa flexible bado kichwa hikohiko kitakwambia huyo ni gogo hautafaidi ndani.

Utasemaje?
Ukiwaza kwa kutumia kichwa cha chini kweli utasema hili ni gogo.

Na hapa ndipo walipo vijana wengi, huoa kwa sababu ya fantasy fulani wasijue maisha ni zaidi ya kufanya ngono.

Bora utulie na ka mama mchungaji kamoja, nyie kila siku mnapiga zenu missionary saaaafi
 
Tupo stage ya uchumba connection yake inavuja na mimi nakaza namuweka ndani? Kila napopita watu wanaambiana unamuona yule jamaaa kamuoa yule demu wa yudizm mwenye nani ya tewa.
Hiyo ni exclusive sio past 😹😹😹

Miaka ijayo unafikiri hakuna mwamba ataiweka ndani chuma ile?

Kosa la yule kujirekodi lakini kuna watu wana mambo ya ajabu ni vile yapo sirini..!!

Kuna watu wameoa wanawake hawana bikra zote na maisha yanaendelea..!!
 
Na imagine siku niolewe halafu jamaa mafile yabumburuke alikuwa mmojawapo na wale wenye jezi ya yanga Oct 29

Halafu akiri..walhi asinijue
Aisee asinijue
 
hapo tatizo ni ushahidi wa moja kwa moja .. angekua na uvumilivu kama angekua ana kisia tu kwamba huyu dem atakua alikua na maisha ya hivi na hiv .. kama ilikua s bikra ... ila uvumilivu utashindikana baada ya kupata shahid za video .. na tatizo litakua kubwa kama ni kwa watu wengi .. hamhukumu kwa yaliyo pita bali ingekua ni rahisi kuhimili kwa kudhan tu ila kwa ushahidi kabisa wa video tena ni watu wengi ni ngumu kuhimili.
 
Ukiwaza kwa kutumia kichwa cha chini kweli utasema hili ni gogo.

Na hapa ndipo walipo vijana wengi, huoa kwa sababu ya fantasy fulani wasijue maisha ni zaidi ya kufanya ngono.

Bora utulie na ka mama mchungaji kamoja, nyie kila siku mnapiga zenu missionary saaaafi
Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom