M4C: Lema kuunguruma leo..

M4C: Lema kuunguruma leo..

Kumbukeni ni SINZA hiyo hiyo imemuingiza Mnyika Bungeni, wanaweza watu wasije kwenye mkutano lakini wenye ufahamu wa nini nikaendelea humu nchini Sinza is part-of.

Diwani wetu hapa KJ-nyama hadi tandale kule ni Chadema vile vile mjue kuwa Sinza sio kama nmavyoifikiria
 
Tupo hapa viwanja vya TIPI Sinza ambako kuna kamkutano ka chadema,, ni aibu tupu kuna watu wasiozidi 40. Lema hana hamu. Inatia huluma sana kwa kweri.
Bolded and underlined ni kiswahili cha wapi!!!M4C haiwezi kuwa hoi na usifurahie hali kama hiyo,sikitika!!!!
 
View attachment 57286
Makamanda wakiwa Sinza


Hapa siyo Sinza
attachment.php
 
Baada ya ile thread ya Yule mzinzi kuhamishiwa kwenye jukwaa la mapenzi naona pro-CDM wameianguakia hii thread Kama nyuki
 
jamani sadaka itakayokusanywa leo na lema itumike kumlipa kamanda nikodem aliyebaguliwa na heche
 
asanteni wana sinza kwa kuwapotezea hao waganga njaa leo, huo ni mwanzo tu bado temeke na mbagala ambako watapewa naul za kuwarudisha moshi na arusha
 
Back
Top Bottom