mkuu mbona wamshambulia tu mleta hoja bila sababu ya msingi? au na wewe upo huko? Ina maana kasema uongo? kama sivyo ya nini kashfa?Sawa mkuu, naona unafanya kazi ya kiongozi wako mdhaifu. Very stupid posts for this day.
kaka hakuna cha maandamano wala nini. Viti vitupu kabisa,, waliimba wimbo wao wa chama kumbe ni wamebadilisha ule wimbo wetu wa Taifa wanaingiza maneno CHADEMA humo ndani. Aibu sana kaka, usiombeMbona tunaambia kuna maandamano makubwa watu ni wengi mno wamejitokeza kumpokea Lema.
Mambo CDM waliyofanya bungeni yamewakatisha tamaa wananchi.
Tupo hapa viwanja vya TIPI Sinza ambako kuna kamkutano ka chadema,, ni aibu tupu kuna watu wasiozidi 40. Lema hana hamu. Inatia huluma sana kwa kweri.
Umesikia huyo aliyekuwa anazika nyeti zake kwa mke wa mjeshi? Kwi! Kwi! Kwi!Mbona tunaambia kuna maandamano makubwa watu ni wengi mno wamejitokeza kumpokea Lema.
Tupo hapa viwanja vya TIPI Sinza ambako kuna kamkutano ka chadema,, ni aibu tupu kuna watu wasiozidi 40. Lema hana hamu. Inatia huluma sana kwa kweri.
kaka hakuna cha maandamano wala nini. Viti vitupu kabisa,, waliimba wimbo wao wa chama kumbe ni wamebadilisha ule wimbo wetu wa Taifa wanaingiza maneno CHADEMA humo ndani. Aibu sana kaka, usiombe
Ona aibu wewe!!! kwanza unajichanganya mara niko hapa,, mara ingaw sipo hapo,, na kujihirisha kwamba niliyoyasema ni kweli,, wewe mwenyewe umesema watu wako zaidi ya 40,, sasa fikiria kama kweli cdm wangekuwa na watu wengi hapa uwanjani,, huyu Dauphine angesema watu wamezidi 40?? si angesema wako zaidi ya 100 au 200. Nakwambia watu wachache kinoma hapa,, ni aibuuongo, niko hapa na watu ni zaidi ya 40. Umehesabu vidole vyako au? 40 unaijua wewe au unahesabu walioko jukwaa kuu? Japo siko kwenye uwanjan ila nilipo naona na nasikia kila kitu