M4C: Lema kuunguruma leo..

M4C: Lema kuunguruma leo..

heri ya waziri kuliko katibu mkuu wa chama chako aliyepora na kuzaa na mke
wa mtu ambaye hadi hivi sasa anaendelea kuzini naye, hapo vp mdau

Nape umekuja mbona hujatokea kumtetea Waziri wako mzinzi....Ni mke wa nani? au kachukua mkeo maana nijua vyo mimi alisha achana na mmewe siku nyingi ndiyo maana mpaka leo yuko na katibu wangu..lakini huyu mmesubiria askari wa watu kaenda lindoni simbachawene kaenda kuzini nae, mimi nashauli polisi wagome kwenda malindoni maana mawaziri wa raisi huyu dhaifu siyo kabisa...Ilikuwa Nchemba, Adam malima,Simbachawene na huyo mwenyekiti ndiyo balaa kilasiku sfari uraya kumbe ni kwenye vimada tu.
 
Kwani hujui uzinzi ni sera ya ccm? Uko wapi mkuu? Kwi! Kwi! Kwi!

hivi katibu mkuu slaa, na katibu wa kanda maalum ya dsm chadema tunawaweka katika kundi gani la wazinzi kwana na wao wameharamisha ndoa za watu
 
jamani sadaka itakayokusanywa leo na lema itumike kumlipa kamanda nikodem aliyebaguliwa na heche
Mwambie Mwenyekiti wako Dhaifu akampe pole afande kwa kitendo alichofanyiwa na waziri wake au atapotezea kwa kuwa ndiyo tabia ya kigogo huyo wa ikulu aka dhaifu.....
 
hivi katibu mkuu slaa, na katibu wa kanda maalum ya dsm chadema tunawaweka katika kundi gani la wazinzi kwana na wao wameharamisha ndoa za watu

Kundi moja limeoa wanawake walio achika na kundi moja limezini na wake za makada wenzao, wake za walinzi wa nchi hii na mwingine aliopoa Changudoa mpaka akaibiwa na SMG.....
 
Hapo ni SINZA

DHAIFU kiakili, na kimawazo, na michango yako, watu wana akili timamu usiwafanye wajinga, na usitake kupoteza mwelekeo wa thread, picha ya mda mrefu sana alafu bila aibu unasema kuna mtu kakutumia now.
 
Haijapata kutokea umati huu uliohudhuria mkutano wa Tabata Kimanga.Ni maelfu kwa maelfu ya watu.Lema uko juu
 
wewe ni mtu au marehemu, umetoka kuzimu maana hata sura yako inaonesha. Mwenge umeshakumaliza akili pole sana subiri kula mavi kwa ugumu wa maisha ndo utajua udhaifu, wa mkuu wenu, baraza dhaifu, na wabunge wa chama dhaifu waliopitisha bajeti kwa kuahidiwa mshahara mi kumi kwa mwezi na posho juu. Ila mia mbili mbili wanazokupa zikusaidie kuboresha sura yako kwanza umechoka saana ha haaa.
 
lema bwana baada ya kukosa posho za ubunge sasa anaganga njaa kwenye kampeni ili aingize siku

ukipata wasaa wa kutembelea A ttown jaribu kuongea na makundi mbalimbali ya wakazi wa arusha juu ya nafasi ya lema kama uchaguzi utafanyika siku uliyokuwa unafanya mahojiano, hapo utapata jibu na matokeo ya uchaguzi mdogo! lema yupo mioyoni mwa wana ARUSHA, CDM inafuatia nyuma.
 
asanteni wana sinza kwa kuwapotezea hao waganga njaa leo, huo ni mwanzo tu bado temeke na mbagala ambako watapewa naul za kuwarudisha moshi na arusha

Acha uwongo jaribu kuwa mkweli, hapa kimanga tabata gari yake wataka kuisukuma ila akawaambia acheni na pia akapanda bodaboda kuwahi ufunguzi wa matawi. Lema kweli kipenzi cha watu.
 
ukipata wasaa wa kutembelea A ttown jaribu kuongea na makundi mbalimbali ya wakazi wa arusha juu ya nafasi ya lema kama uchaguzi utafanyika siku uliyokuwa unafanya mahojiano, hapo utapata jibu na matokeo ya uchaguzi mdogo! lema yupo mioyoni mwa wana ARUSHA, CDM inafuatia nyuma.

Hao ni sikio la kufa hata ukiwaambia joka yule pale atabisha, achana nao hao viwavi wa mali za umma.
 
Back
Top Bottom