M4C: Lema kuunguruma leo..

M4C: Lema kuunguruma leo..

Hanatia huluma,,,haki ya mungu wewe ni dhahifu kama baba yako rubani
 
Endeleeni kutupatia updates mliopo eneo la tukio!
 
anasema hamuogopi kikwete, baba yake kikwete, mama yake wala hamuogopi pinda, anamwogopa mungu tu.
 
Peopleeeeeeeeeeeeeessssss poooooower.
 
amemwambia mwenyekiti waondoe rufaa slaa akagombee arusha yeye aendelee na harakati za ukombozi.
 
Ni kweli Kamanda Lema tulikuwa nae leo Sinza mitaa ya saa tano mpaka saa tisa yeye pamoja na mzee wetu Philemon Ndesamburo (MB), Kilewo, Komu Antony, na viongozi wengine wa chama na walipotoka wakaelekea Tabata.Mwaka huu magamba yatabanduka tu.......

 
Back
Top Bottom