Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
mi najiuliza tu hivi makommando wetu kwa nini wasipewe fursa wakadungua mmojawapo wa hawa rebel leaders? Yaani sniper wao ameua Komando wetu roho inaniuma sana...inabidi kulipiza kisasi kwa kudungua high profile wao mmoja.
mwongozo wa kivita tafadhali Moshe Dayan
mwongozo wa kivita tafadhali Moshe Dayan
Last edited by a moderator: