BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,044
Unachosema ni kweli mkuu ila kwa sasa kuna tofauti kubwa na hapo nyuma. Ingawa tulikuwa tunajua M23 wanakotoka, walikuwa wanakanusha ila hivi sasa tunajua waliko na huko ndiko watakakotokea in case waki-rise tena. Hapo ndipo hatua nyinginezo pamoja na hiyo (ikiwezekana) unayo-suggest kuchukuliwa.Mkuu bila kumtoa Kagame trust me, it's just a matter of time before M23 will rise again. This is a cat and mouse game