M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya

M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya

Nilidhani ubabe wa waTZ kivita ulikuwa mikononi mwa kina Mayunga, Musuguri, Twalipo & Co. JWTZ kumbe vijana wanatisha. Hongera JWTZ. futa hicho kikundi cha m23.
 
Jamaa kaona bora arudi nyumbani faster kabla hajamkuta yaliyowakuta wenziye.
 
Mamilioni ya wacongo waliopoteza wake na watoto na wapendwa wao hakika wataunga mkono! na hawatasahau jinsi wanajeshi wa Tanzania walivyopoteza maisha yao kuwatetea.

Baada ya kuungwa mkono na hao raia Wa DRC wewe kama Mtanzania utakuwa umenufaika na nini? wakati nchi imepoteza Askari mwenye utaalam wa juu na amesomeshwa kwa gharama kubwa ambazo hao Wa DRC hawakuchangia chochote zaidi kilichotumika ni kodi zetu Watanzania.
 
30 Oktoba 2013 15:45

Wanajeshi wa DRC wamefanikiwa kuwatimua waasi wa M23 kutoka katika ngome yao kuu katika eneo la Bunagana.
Wanajeshi hao wamekomboa mji wa Bunagana kufuatia makabiliano makali adhuhuri ya leo ambapo baadhi ya waasi walilazimika kuimbilia msituni huku baadhi wakidai waliingia Uganda baada ya kuvalia mavazi ya kiraia.
Msemaji wa serikali alisema kuwa mji wa Bunagana ulio katika mpaka wa Uganda na DRC, sasa uko chini ya wanajeshi wa serikali.
Wenyeji wa mji huo walithibitishia BBC kuwa mji huo ulikombolewa na kuwa waasi wamekuwa wakitoroka mapambano makali dhidi yao.
Hatua hii ya wanajeshi ni sehemu ya ushindi mkubwa ambao wanajeshi wamekuwa wakiupata dhidi ya waasi hao wa M23 walianza harakati zao dhidi ya serikali ya Congo mwaka jana wakidaiwa kusaidiwa na serikali ya Rwanda.
Mnamo siku ya Jumatatu mjumbe maalum wa M23 hawana tena nguvu za kijeshi kwani sio tesho tena.,
Umoja wa Mataifa umesema kuwa wakimbizi elfu tano wamelazimika kutoroka Bunagana na kuingia Uganda kwa usalama wao.

BBC
 
Nimekuwa karibu sana kijana wangu aliekuwepo DRC na ukweli ni ushindi huu ni wa JWTZ kwa 90%. JWTZ ndilo lilianzisha mapigano na hawa M23. Wana_Jf Pale ambapo unasikia Jeshi la Congo limepigana na waasi kasi utambue kuwa ndani Battalion ya JWTZ iliyoenda kule DRC walichukuliwa wale Askari wa Tanzania wenye uwezo wa hali ya juu ili kwenda kupigana huko, Sio wote wanaokwenda kupigana ila JWTZ limetoa askari kadhaa ili wakawasaidie Congo. Askari walivenjwa mpaka kombati za DRC ili wakafanye hiyo kazi. Na hiyo kazi imefanywa kwa ustadi wa hali ya juu sana. Kagame na Museveni hata M23 wenyewe wanalijua hili. Jeshi la Congo halina uwezo wa kupambana na M23.
 
Nimekuwa karibu sana kijana wangu aliekuwepo DRC na ukweli ni ushindi huu ni wa JWTZ kwa 90%. JWTZ ndilo lilianzisha mapigano na hawa M23. Wana_Jf Pale ambapo unasikia Jeshi la Congo limepigana na waasi kasi utambue kuwa ndani Battalion ya JWTZ iliyoenda kule DRC walichukuliwa wale Askari wa Tanzania wenye uwezo wa hali ya juu ili kwenda kupigana huko, Sio wote wanaokwenda kupigana ila JWTZ limetoa askari kadhaa ili wakawasaidie Congo. Askari walivenjwa mpaka kombati za DRC ili wakafanye hiyo kazi. Na hiyo kazi imefanywa kwa ustadi wa hali ya juu sana. Kagame na Museveni hata M23 wenyewe wanalijua hili. Jeshi la Congo halina uwezo wa kupambana na M23.
hONGERA SANA jwtz. ndio maana nikiangalia CCTV Africa kutoka hapa marekani kila mara naona jina la kinyakyusa kanali mwakibolwa mara Hatibu bakari mara Komba, nilkuwa najiuliza hawa wakina komba walifika lini Congo? MUngu Ibariki TZ maana huko ndiko kusaidia mtu aliye uchi ukamvisha nguo. Congo wamesumbuliwa sana na na M-23, Uganda na Rwanda. Amani na Ije wacongo wazidi kututumbuiza ktk muziki, soka na basket ball.
 
Nimekuwa karibu sana kijana wangu aliekuwepo DRC na ukweli ni ushindi huu ni wa JWTZ kwa 90%. JWTZ ndilo lilianzisha mapigano na hawa M23. Wana_Jf Pale ambapo unasikia Jeshi la Congo limepigana na waasi kasi utambue kuwa ndani Battalion ya JWTZ iliyoenda kule DRC walichukuliwa wale Askari wa Tanzania wenye uwezo wa hali ya juu ili kwenda kupigana huko, Sio wote wanaokwenda kupigana ila JWTZ limetoa askari kadhaa ili wakawasaidie Congo. Askari walivenjwa mpaka kombati za DRC ili wakafanye hiyo kazi. Na hiyo kazi imefanywa kwa ustadi wa hali ya juu sana. Kagame na Museveni hata M23 wenyewe wanalijua hili. Jeshi la Congo halina uwezo wa kupambana na M23.
Nasema JWTZ ni noma pande hii ya Afrika Mashariki.
JWTZ- The proffessional army that has always been, proud of ya guys.
 
mimi naamini Mtu mweusi aliumbwa katika nchi ya kongo! maana pale pana asili zote za kipaji cha mtu mweusi. Ngoma(muziki) Soka,na intertainment zote!!!!!! Tanzania pale imemgomboa mtu mweusi dhidi watumwa wa mali
 
Congo army takes M23 rebel stronghold

By JOSEPH KAY and SALEH MWANAMILONGO 52 minutes

726a3c0c58538124410f6a7067004079.jpg

.
View gallery
BUNAGANA, Congo (AP) —

The Congolese army retook one of the last remaining strongholds of the M23 rebels Wednesday, with fighters heading for the hills as the military sought to extinguish the 18-month insurrection, officials said.

As the army retook the town of Bunagana, leaving the M23 with a small sliver of territory, the civilian head of their movement crossed the border into Uganda prompting calls for his immediate extradition.
The recapturing of Bunagana comes just days after the United Nations special representative said "we are witnessing the military end of the M23."

Small skirmishes took place through the town and M23 fighters could be seen running away up a hill behind Bunagana, according to an Associated Press reporter traveling with the army.
Carrying guns and cooking pots as they entered Bunagana, the soldiers spread out in the town and did house-to-house searches.


Congolese army soldiers are cheered by residents as they march through Rugare after recapturing it f …

Hundreds of civilians who had fled across the border to Uganda began crossing back over after the gunfire stopped.
The government finally regained control of town by midday, said army spokesman Lt. Col. Olivier Hamuli, speaking by telephone to The Associated Press.
"We are now securing the city after the rebels fled," he said. "We have found a lot of weapons that they abandoned here. Their political leaders have crossed the border and about 40 fighters are headed toward Runyonyi and we are tracking them down."
M23 political head Bertrand Bisimwa was among those who crossed into Uganda and headed toward the capital of Kampala, officials in both countries said. Bisimwa, whose Twitter photo is of peace icon Mahatma Gandhi, frequently has spoken on behalf of the group.
Ugandan authorities denied that he had been arrested, though Congo called for him to be returned home amid reports he left the country in vehicles that were stolen during M23's siege of Goma last November.


Congolese army soldiers march through Rugare after recapturing it from M23 rebels over the weekend, …

"We demand that Ugandan authorities ... return all Congolese property and extradite Mr. Bisimwa as soon as possible," said Julien Paluku, the governor of North Kivu province.
There was no immediate comment from the M23, which in recent days has accused the Congolese military and its U.N. allies of sabotaging the peace process with their offensive.

M23 launched its movement in April 2012, becoming the latest reincarnation of an ethnic Tutsi rebel group dissatisfied with the Congolese government. Neighboring Rwanda, whose president is also an ethnic Tutsi, has provided weapons, recruits and training to the M23, according to a report by U.N experts. Rwanda's government denies the allegations, saying Congo's government has failed to police its territory.

M23 briefly overtook Goma — a city of 1 million people — last November but has been substantially weakened in the past year by internal divisions and waning Rwandan support, according to the U.N. group of experts.

Defections from the M23 are up this month, totaling 80 in October. Thirty-three surrendered alone on Tuesday, according to chief U.N. spokesman Martin Nesirky.
View gallery."

Residents cheer as Congolese army soldiers pass through Rugare after recapturing it from M23 rebels …

The Congolese military has capitalized on these rebel setbacks by pushing ahead with new offensives beginning in August that have been supported by the most powerful U.N. force yet. After years of only protecting civilians, the U.N. has a new mandate to actively aid the Congolese army in pursuing the rebels.
In the last week, Congo has scored a series of successes and taken back half a dozen towns from rebel control to the cheers of local residents waving palm leaves and running alongside their vehicles. The unrest, though, also has prompted a mass exodus of civilians.

Lucy Beck, a spokeswoman for the U.N. refugee agency in Uganda, said the Congolese crossing the border are now "too many to count." The number of Congolese seeking refuge in Uganda rose from 5,000 to more than 10,000 within hours Wednesday, she said.

This is only the latest unrest to prompt displacement in eastern Congo, which has now been mired in conflict for nearly two decades. Ethnic Hutu militias blamed for taking part in Rwanda's 1994 genocide fled across the border to eastern Congo, prompting Rwanda to invade twice in an attempt to crush them.

Eastern Congo — home to volcanoes, lush green forested hills and some of the world's last remaining mountain gorillas — is now awash in armed militias vying for control of lucrative minerals including gold.
The fighting has exposed civilians to unspeakable atrocities as groups have carried out massacres and burned down villages in recent years. Rebels including the M23 are accused of carrying out mass rapes and conscripting children as armed fighters.

Associated Press writers Rodney Muhumuza in Kampala, Uganda; Krista Larson in Dakar, Senegal; and Peter James Spielmann at the United Nations contributed to this report.
 
Kumbe Chuo cha kijeshi cha monduli kinafanana na west point(USA) na sundast(UK)!!!!! sasa hapo tanzania imewapeleka kule congo,wale wenye kuchelewa kulipoti kambini,waliosahau soks na saaa! Je ingewapeleka wale waliohitimu na kupata cheti, ingekuwaje kule Goma na Bunagana? usicheze na JWTZ! M7 na kagame, watch out!!!
 
waendlee na masummit yao ya kipumbavu. Mh kikwete tafta wa retaired soldiers wote waende kongo ili watoe adabu kwa kagame. Kongo iwipe awa wastaafu ili watoe adabu
 
Bisima kakimbilia Uganda,Makenga kakimbilia Rwanda.Hivi si ndio yaleyale yaliyosemwa na wachunguzi wa UN? Kwa sasa jeshi la Congo linatakiwa lipewe mafunzo mbalimbali ya ki jeshi. Jw ni wazuri kwa kazi hiyo. Kudos jw.
 
baada ya kuungwa mkono na hao raia wa drc wewe kama mtanzania utakuwa umenufaika na nini? Wakati nchi imepoteza askari mwenye utaalam wa juu na amesomeshwa kwa gharama kubwa ambazo hao wa drc hawakuchangia chochote zaidi kilichotumika ni kodi zetu watanzania.

utakuwa ukomo wa wahuni na magenge ya kigaidi ya kitusi yanayofadhiliwa na kagame
 
Back
Top Bottom