East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Watoto wanarudi kwa baba
Ni kweli mkuu.Nkunda alirudi kwa baba yake Kagame na Bisiimwa anarudi kwa Baba yake Mseveni. Asiyekuwa na baba Bosco Ntaganda alijikuta anapelekwa mkuku ICC uholanzi.
Hawa watakuwa wanajiishia maeneo ya starehe kigali na Kampala kwa baba zao.