SADC ipo mkuu na maamuzi ya kuilinda CONGO ambayo ni mwanachama wa SADC yamefikiwa kwa makubaliano ya pamoja ila JWTZ ndio wamepewa jukumu la frontline
Unawajua ANGOLA mkuu??, unawasikia South Africa??, Vipi kuhusu Zimbwabwe na Namibia??, wakiungana na JWTZ wazee wa kichapo cha kimya kimya na morali ya vita unafikiri itakuaje??
Hao uliowataja hawawezi kuthubtu kuingilia huo mziki
Namibia, Zimbabwe, Angola, Msumbiji, S.Afrika, Botwsana na nchi nyingi za Afrika kusini mwa afrika na pamoja na Afrika ya kati huwa wanachukua mafunzo yao ya kijeshi Tanzania. Sifa kuu ya JWTZ ni kupiga kimya kimya. Angola, Zimbabwe na Namibia kwa majeshi ya ardhini ni wazuri sana.