Kwa muda mufupi sikupatikana kwenye mutandao wa facebook na kwenye simu, sababu nilikuwa mahali hakuna network, kwa sasa nimefika mahali kuna network, Mutaanza pata habari kwa wakati. hatukupigana, tulijitosha katika maeneo zetu bila kupigana, silaha zetu zote tulienda nazo hakuna yenye tuliaca.
Ingelukuwa tulikimbiya hatugepata wakati ya kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye anayuwa fanya analyse, aifanye sasa. 1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3 Tutabakiya kwenye tulienda ama tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila ameitika kuya zungumuza na japo kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa yake haitumike muzuri njo anaeza fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa marafiki, tuko tena tuko.
Twasubiri kyenye kitatoka Kampala kwenye mazungumuzo, kama hakuna kizuri kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena, PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI.
- at Bunagana, Democratic Republic of the Congo.
Niliwahi kusoma mahali M23 wanauza madini yenye thamani ya $500 Millions kwa mwaka, na wanauza mpaka nchi za magharibi, na ndio wanakopata kiburi cha kuwa na silaha nzito. Jeshi la Afrika kusini lilikuwa linangojea hizi mashine hapa chini ili liingie kamili kwenye vita. Zinapelekwa tatu, jamaa wajipange kwelikweli.![]()
Hahahaaa. Kazarama, nani kabaambiya mutoke kumakambi yenu? Sasa hibi fardc bamekamatilia hayo masehemu, mukiruti tu mutajuwa kyenye kilifurusha nyoka mupango!!
Kwani yeye mswahili?Kiswahili kibovu.
M23 au m divis5