M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya

M23 vs FARDC (DRC CONGO) Mapigano yaanza upya




Kwa muda mufupi sikupatikana kwenye mutandao wa facebook na kwenye simu, sababu nilikuwa mahali hakuna network, kwa sasa nimefika mahali kuna network, Mutaanza pata habari kwa wakati. hatukupigana, tulijitosha katika maeneo zetu bila kupigana, silaha zetu zote tulienda nazo hakuna yenye tuliaca.

Ingelukuwa tulikimbiya hatugepata wakati ya kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye anayuwa fanya analyse, aifanye sasa. 1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3 Tutabakiya kwenye tulienda ama tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila ameitika kuya zungumuza na japo kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa yake haitumike muzuri njo anaeza fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa marafiki, tuko tena tuko.

Twasubiri kyenye kitatoka Kampala kwenye mazungumuzo, kama hakuna kizuri kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena, PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI
.

- at Bunagana, Democratic Republic of the Congo.

Mfa maji haachi kutapata 🙂
 
..dunia nzima inawasihi waweke silaha chini.

..huyu inaelekea hana uchungu na maisha na mali zinazopotea.

..he is too obsessed na vita na mauaji. anatakiwa afikirie AMANI zaidi.
 
Niliwahi kusoma mahali M23 wanauza madini yenye thamani ya $500 Millions kwa mwaka, na wanauza mpaka nchi za magharibi, na ndio wanakopata kiburi cha kuwa na silaha nzito. Jeshi la Afrika kusini lilikuwa linangojea hizi mashine hapa chini ili liingie kamili kwenye vita. Zinapelekwa tatu, jamaa wajipange kwelikweli.
 
Huyo anachimba tu mkwara,habari yake imefika mwisho.kitakachofuata ni kumtia yeye mwenyewe mbaroni.
 
Niliwahi kusoma mahali M23 wanauza madini yenye thamani ya $500 Millions kwa mwaka, na wanauza mpaka nchi za magharibi, na ndio wanakopata kiburi cha kuwa na silaha nzito. Jeshi la Afrika kusini lilikuwa linangojea hizi mashine hapa chini ili liingie kamili kwenye vita. Zinapelekwa tatu, jamaa wajipange kwelikweli.

nimeipenda iyo mashine.....tandika ayo majinga yametuulia Leftenant officer wetu.....siyapendi kama nn
 
Hahahaaa. Kazarama, nani kabaambiya mutoke kumakambi yenu? Sasa hibi fardc bamekamatilia hayo masehemu, mukiruti tu mutajuwa kyenye kilifurusha nyoka mupango!!

Nimependa sana kiswahili cha ki DRC hiki. Habari ndiyo hiyo; ya "Mukiruti tu mutajua kyenye kilifurusha nyoka mu pango"
 
Back
Top Bottom