Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,662
so kwanini asiandike kikwao..!Kwani yeye mswahili?
so kwanini asiandike kikwao..!Kwani yeye mswahili?
Kiswahili kibovu.
Hapa tunazungumzia fact na sio kila habari inayotolewa basi uiamini lazima ujaribu kuushirikisha ubongo kwa karibu. Nauliza tena kama Lut. Rajabu alikuwa anazuia Raia wasipigwe risasi na hawa M23 ndio maana akauawa kwa nini hao M23 wasiwaue hao wananchi hata kabla hilo jeshi la DRC alijaingia katika maeneo hayo ambayo yalikuwa yanashikiriwa na hao M23?
Kwa muda mufupi sikupatikana kwenye mutandao wa facebook na kwenye simu, sababu nilikuwa mahali hakuna network, kwa sasa nimefika mahali kuna network, Mutaanza pata habari kwa wakati. hatukupigana, tulijitosha katika maeneo zetu bila kupigana, silaha zetu zote tulienda nazo hakuna yenye tuliaca.
Ingelukuwa tulikimbiya hatugepata wakati ya kubeba bitu yetu. sasa mutu mwenye anayuwa fanya analyse, aifanye sasa. 1 kwa nini tilijitosha mumaeneo yetu bila kupigana? 2 Tulienda wapi? 3 Tutabakiya kwenye tulienda ama tutarundi, 3 Mbone FARDC haitufwate kwenye tuko? 4 kwa nini Kabila ameitika kuya zungumuza na japo kuwa alisha tushinda? Mwenye kicwa yake haitumike muzuri njo anaeza fanya fete eti M23 imeshindwa. Kwa marafiki, tuko tena tuko.
Twasubiri kyenye kitatoka Kampala kwenye mazungumuzo, kama hakuna kizuri kinatoka huko. Na FARDC FDLR, NA MONUSCO inasubutu kuanza Vita tena, PALE MUTAJUWA SISI NI WANANI.
- at Bunagana, Democratic Republic of the Congo.
Propaganda za kijinga hizi za kina MUKAMASIMBA.
Hawa watutsi wako kama wale wanawake wa uswazi ambao kazi yao ni kukaa barazani na kuchonga umbea kwa kila anayepita barabarani.
hata shule yenyewe hajaenda!!
Big result yaani anguko la elimu Tz ni sawa na kushindwa kwa M23
Mkuu hakuna haja ya kupoteza muda na jamaa hawa ambao hawajui wanacho kitaka, kila kukicha wana-move goal post - mara tunataka hiki mara kile mtu unaweza kufikiri akili zao ni za kuhazima kutoka kwa Masters WAO. Binafsi nigeshauri makamanda wote wa M23 wafungwe maisha kama sio kunyongwa na wanao wa-finance waburuzwe the Hague wakahungane na Gabgo na mkewe, Charles Taylor na URUTO. M23 ni kudi la kigaidi ambalo limesababisha mauuaji na mateso mengi kwa binadamu wenzao nchini DRC, ni mijitu mikatili tu mijizi na mingine hajawahi kwenda shule, yanatumika kama robots tu.cku ingine usikae sehemu yenye haina network,vijana wako kumbe walikosa maelekezo ndo maana mkapigwa.sasa kimbia kwa meza ya mazungumzo.